Wiki mbili magazeti yaliandika dawa ya ukimwi imepatikana .katika blog mbalimbali zilikanusha na mpaka sasa cjackia tena na kulikuwa na ubishani mkubwa mtaani je ni kweli dawa hiyo imegundulika...
Hi naomba niulize ,
je wasomi wa hapa tanzania wanatumia elimu yao ipasavyo katika kuleta maendeleo ya nchi yetu?kama wanatumia ni kwanini katika secta nyingine kama vile wahandisi wengi wao ni...
Wasalaam magreat thinkers! Naomba mnikaribishe kwa mikono yote miwili na kwa moyo safi ili tuchangie mawazo katika jukwaa hili la siasa. Naomba nijue miiko ya humu ili nisije nikaivunja na...
habari zenu wana jamiiforum? Nimeamua kuja huku kwa ma great thinkers baada ya kutapa tapa kwa muda mrefu kwenye mitandao mingine ya kijamii ambayo imetawaliwa na majungu,mapenzi kabla ya wakati...
Hello great thinkers,i am a new member in the forum and would like to be part of the thoughtful minds in the society....i appreciate your contributions.
Habari zenu mliomo.
Nimekua mshabiki mkubwa wa jamvi hili lakini mara zote
nikiwa mtazamaji tu na kila nilipotaka kuchangia nazuiwa
kumbe nilikua mpitaji sasa naingia rasmi nipate kuchangia
na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.