Miye naitwa dada Mangoda, natokea Tanga ati. Naomba niwe mgeni mnikarbishe kwa upendo mnionyeshe mandhar ya JF. Nawapenda wote
Karibu sana bibie Tanga kubwa wapi? Mabanda ya papa, Raskazoni, Chuda, Makolola...
</p>Karibu sana bibie Tanga kubwa wapi? Mabanda ya papa, Raskazoni, Chuda, Makolola...
Anakaa Donge. Karibu Mangoda.
<p></p>
<p> </p>
chatu dume kumbe weeh ndo mzee fataki eeh?
dada mgeni karibu sana,kamba mguuni itatoka sasa hivi.