Nchimbi Ausi
Member
- Oct 2, 2010
- 7
- 1
naitwa Nchimbi Ausi ni mwanafunzi wa chuo kikuu kimoja hpa Tanzania. ni miongoni mwa watu wachache sana waliotokea kuipenda taaluma ya ualimu. Huwa napenda sana kujadili masuala mbalimbali ya elimu, siasa na falsafa. Tchao!!