lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
Nilisahau kujitambulisha lakini mimi nimeathiliwa na hawa mafisadi kwa muda mrefu na sasa ama zangu ama zao nimekuja kudai haki yangu na kuelimisha umma
karibu sana
karibu mpambanaji
karibu sana oa
karibu sana upambane nao mafisadi.
karibu ndugu.
karibu
karibu japo umeshakuwa mwenyeji!! Tuelimishe mkuu nasi tudai haki zetu!
nilisahau kujitambulisha lakini mimi nimeathiliwa na hawa mafisadi kwa muda mrefu na sasa ama zangu ama zao nimekuja kudai haki yangu na kuelimisha umma