Habari zenu wote kwa ujumla.
Nawasalimu kwa jina la bwana. Mie mgeni hapa naomba mnipokee na kunielekeza pale nitakapokosea. Nimekuwa nikisoma tu kama mgeni ila nimeamua rasmi kujiunga...
Nimevutiwa na JF kwa namna inavyoleta changamoto pamoja na ushirikiano wa members katika kulitatua tatizo mara linapotokea katika jamii.Huo ndiyo uzalendo.
Ahsanteni
mimi ni mtu mzuma mwenzenu nipokeeni kwenye jukwaa la madavidavi na majambozi nimepatataabu kujiunga na leo nimefanikiwa nipeni raha ,wana sema chokochoko mchokoe pweza
na wnasema KAMA MVUVI VUA...
Nawasalimu ndugu zangu popote pale mlipo ndani na nje ya nchi. Nimekuwa mfuatiliaji wa yale yanayojiri ndani ya JF nimeona nami nijiunge nanyi ili kwa pamoja tujadili mambo mbalimbali juu ya...
nimekaribishwa na hii msg mlangoni Hello njiwa It appears that you have not posted on our forums in several weeks, why not take a few moments to ask a question, help provide a solution or just...
HI! Great thinkerps!
Realy am so happy 2bejoined in this 4rum.
Kindly am asking ur welcome as a newcomer.
The house of great thinkers and realy is hw it is.thank u all of u!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.