nafikiri ni wakati muafaka wa kuungana na wanajamii baada ya safari ndefu na ngumu ya uchhaguzi ulopita. nasisitiza ccm ni mshindi hata kama tulichakachua hao waliochakachuliwa walikuwa wapi?
Nimekua msomaji wa jamiiforums kwa muda mrefu,hasa kwenye jukwaa la siasa na mengineyo pia .Nimejifunza vitu vingi kupitia humu hasa namna ya kuzivumilia hoja zinazo kera na namna ya kuzijibu...
Napenda kujitambulisha rasmi na nategemea tutakuwa na mijadala ya maana zaidi ambayo italenga kujenga na sio kubomoa na wala haitokuwa na kudhihakiana wala kutukakana wala personal attacks...
Habarini jamani!
Mimi mwenzenu ni mpya naomba kuingia humu ndani niungane na kushirikiana na ninyi katika kuijenga na kuitetea nchi na taifa letu kwa ujumla.
please msinitenge ndugu zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.