Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Jamani nisaidieni nipate sehemu ya kufanyia field mwezi wa 7 mwaka huu.field yangu ni wiki sita,kwan sehemu niliyopata ni mbali sana,huko halmashaur ya serengeti. Niko udom nasoma project...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jambo wana jf mimi ISO.Ni mda mrefu sana nilikua natamani kua mwana jf.sasa nimefanikiwa.naahid kutoa ushirikiano jf.naomba mnipokee
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natamani niwe j.f senior expert lakini duh? Sijui nianzie wapi na ugeni wangu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wapendwa wana jf awali ya yote nawashukuru sana kwa michango na mawazo yenu bora yaliyonivuta kujiunga nanyi. Naomba mnipokee ili nami niweze kushiriki nanyi ktk ujenzi wa taifa letu. Wenu kautipe
0 Reactions
7 Replies
939 Views
Wanajamii, mie mgeni nipokeeni
0 Reactions
9 Replies
942 Views
Nipokeeni Jamani
0 Reactions
7 Replies
850 Views
Hello JF members, salaam alaykum,BWANA Yesu asifiwe, finally I'm happy baada ya Kustruggle for a long time nimejoin leo hapa Jamvini. Nikiwa Outsider nimekuwa nikiwapata vizuri. I love U all...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Najiunga hapa kwa kwa ajili ya kupata mambo mbalimbali na kujifunza pia pamoja na kubadilishana mawazo kuhusu ujenzi wa Taifa nimekuwa natembelea sana humu ndani na kusoma michango ya watu hivyo...
0 Reactions
7 Replies
886 Views
hatimaye nimefanikiwa kupost topic kwa mara ya kwanza hapa
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Baada ya kuchukua muda kuifahamu jf na kuvutiwa na yale yanayojiri katika jamvi hili naomba mnikaribishe rasmi,,, naahidi kuwa mchangiaji na mtoa mada mzuri sana katika forum hii,,,,,, Na Mungu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
mi mgeni
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, Ninayo furaha kubwa kujumuika humu ndani. please give me a welcome hand!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hodi jamvini........
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi naitwa mkulimamwema nimewaleteeni magimbi,matango na mihogo maana mna kasumba ya kutokuja kutusalimia kijijini na nimekuja mnipe hela nikanunue dawa ya wadudu wanaoharibu mazao maana mwaka...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu zanguni wakuu, nami mtanzania mwenzenu nimejiunga natumai nitadfaidika na kufaidisha hivyo naomba mnikaribishe.
0 Reactions
9 Replies
973 Views
Habari zenu wana jamvi? naomba kukaribia nipate pumziko la kifikra maaana huko nilipo toka ni majungu, fitna, unafki, uzandiki...... du na kila kitu! Naamini hapa nitabwaga moyo, au nimekosea...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Napenda kujitambulisha kwenu wana jf leo hii, mimi ni mtanzania mwenzenu na nimevutiwa sana na michango mbalimbali ya kimtazamo inayopatikana ktk blogu hii. Nami nimejiunga. Na...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Hodi jaman wana JF!Siamin kama na mimi nipo JF KABISAAA!Naahid kuwa mwungwana!Natumaini mtaniunga mkono!JF OYEEEE!
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hey nimejiunga leo nimependa nijitambulisha na humu kwani huwa napenda sana kuja jukwaa hili kama guest nikaona isiwe tabu ngoja tu nijiunge ili niweze kucomment kwenye hoja itakayonivutia.Yaani...
1 Reactions
98 Replies
7K Views
NIMEFANIKIWA KUSAJIRI NGO YA KIJAMII,ITAKAYOJIHUSISHA NA UTETEZI WA HAKI ZA BINADAMU KWA MASUALA YA AFYA. INAITWA NYUMBA YA UTU (HOME OF DIGINITY (HODi)). pamoja na kutetea haki za kiafya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom