mpatie mgeni gazeti la udaku asome, yule mgeni wa jana kamaliza soda yote kwenye jokofuKaribu mkuu
mpatie mgeni gazeti la udaku asome, yule mgeni wa jana kamaliza soda yote kwenye jokofu
bajeti ya JF kwa upande wa jukwaa la introduction imepunguzwa kwa 15% (reason: figganigga na mke wake husninyo hawakuchangia ile harambee ya mkono mtupu haulambwi), zee la upekuzi likikaribishwa si litapekua ma PM yetu?hahaha!gazeti la udaku!!!na ww kwa ubahili wako hukununua tena bda ya kuona zimeisha!kamkaribishe mzee wa upekuzi,,
bajeti ya JF kwa upande wa jukwaa la introduction imepunguzwa kwa 15% (reason: figganigga na mke wake husninyo hawakuchangia ile harambee ya mkono mtupu haulambwi), zee la upekuzi likikaribishwa si litapekua ma PM yetu?
mia!figga na mkewe hawajachangia maana ni wagonjwa hata muda wao mwingi wanautumia kule kwa madokta kwa ajili ya matibabu,,hili jukwaa linahitaji kuongezewa pato mm na ww tuwe weka hazina,katavi ataendelea na urisepshenisti.
Kwenye bajeti yenu ya jukwaa msisahau japo maji ya kunywa kwa ajili ya marisepshenisti......figga na mkewe hawajachangia maana ni wagonjwa hata muda wao mwingi wanautumia kule kwa madokta kwa ajili ya matibabu,,hili jukwaa linahitaji kuongezewa pato mm na ww tuwe weka hazina,katavi ataendelea na urisepshenisti.
karib bana! unatakiwa kuzibiti hasira zako,wakikukera unatakiwa kutujulisha sisi mods na sio kujibizana nao. karib sana, jiskie upo honeymoon.
Ahaaaa mods!!Asprin ni nani?lazima awe nacheo!!karib bana! unatakiwa kuzibiti hasira zako,wakikukera unatakiwa kutujulisha sisi mods na sio kujibizana nao. karib sana, jiskie upo honeymoon.
Kuna mpya umemwona??ila nimekusaidia kumkaribisha usikonde ila unarunusiwa kuweka mawaidha!!karib bana! unatakiwa kuzibiti hasira zako,wakikukera unatakiwa kutujulisha sisi mods na sio kujibizana nao. karib sana, jiskie upo honeymoon.