Karibu sana jamvini sanj!
Ahahahaaah!! Ndio maana napendelea kuwa kwenye kamati ya mapokezi hapa JF...Afu Katavi unajua avatar yako inafaa sana kuwakaribisha wageni!
Karibu sana, mimi mwenzio na mchanga humu kama wewe. Naomba kukutahadharisha:
1) Kuna majina fulani fulani haya-kosolewi humu JF. Utajionea mwenyewe kadiri muda unavyokwenda.
2) Ukikosowa au kutokuunga mkono mada za Chadema, utakuwa mbaya wa wengi.
3) Ukitetea au kusifia chochote kuhusu CCM pia utakuwa mbaya kwa wengi.
4) Ukimsifu Kikwete hata kwa chembe ya mema yake utakuwa mbaya kwa wengi.
5) Ukiisifu Chadema hata kama haina cha mana ilichofanya utakuwa mtu mwema na mzuri saaaaana kwa wengi.
6) Ukimsifu Mbowe na Slaa, hata kama kuna mmoja wao anakwenda kinyume na maadili, utakuwa mwema sana na mpenda maendeleo. Utapendwa na wengi sana.
Karibu.