nadhani nimekaribia,

nadhani nimekaribia,

bmx

Member
Joined
Mar 10, 2011
Posts
67
Reaction score
0
ndo kwanza nimejoin kama member ingawa nimekua kama guest viewer kwa muda mrefu,,naomba kuwakilisha,,
 
dah....umenikumbusha nikiwa mtoto kuna tubaiskeli tulikuwa tunaendesha vinaitwa BMX....karibu sana jukwaani
 
ahsnte preta,,

ndio manake alikuwa anajifunza na bmx ya tairi tatu nyuma.karibu mkuu..JF ni blak mamba.nafkiri kwa kupiga chabo kama guest umeshajua watu wanavyoendesha baiskeli kubwa..kariiiiib mkuu.
 
Back
Top Bottom