Baada ya kuwa kando nami nimeamua kujumuika nanyi katika mkao huu, naomba mnipokee kwa mikono miwili, nitakapokosa nirekebisheni. Nawasilisha
Baada ya kuwa kando nami nimeamua kujumuika nanyi katika mkao huu, naomba mnipokee kwa mikono miwili, nitakapokosa nirekebisheni. Nawasilisha
karib sana vijisenti, huyu niliemquote anaitwa susy.umefika, karibu sana!!!
Karibu Sana huyu niliyemquote anaitwa Klorokwin aka Panadol aka Fansidar aka Magnesiumkarib sana vijisenti, huyu niliemquote anaitwa susy.
vijisenti mbona umeingia na jina la kudhihaki WA TZ???nikikumbuka tu hilo neno (vijisenti) huwa natamani kulia kwa jinsi tulivodharaulika
Hapana! Hatuna uhusiano kabisa mimi ndio mwenye jina yeye kapachikwa tu!