Habarini wanajamvi

Vijisenti

JF-Expert Member
Mar 11, 2011
544
328
Baada ya kuwa kando nami nimeamua kujumuika nanyi katika mkao huu, naomba mnipokee kwa mikono miwili, nitakapokosa nirekebisheni. Nawasilisha
 
vijisenti mbona umeingia na jina la kudhihaki WA TZ???nikikumbuka tu hilo neno (vijisenti) huwa natamani kulia kwa jinsi tulivodharaulika
 
hilo jina matata kaka! Nimelipenda na kulichukia ghafla! Hata hivyo karibu mwaya!
 
vijisenti mbona umeingia na jina la kudhihaki WA TZ???nikikumbuka tu hilo neno (vijisenti) huwa natamani kulia kwa jinsi tulivodharaulika

Dah pole sana, kuna ambao tunastahili hili jina halafu kuna wale ambao hawastahili, mimi nastahili zaidi kuitwa mzee wa vijisenti aliyetudhihaki ni yule anayeweza kutunza vijisenti katika benki za nje kwani ninavyojua vijisenti vinakaa mifukoni tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom