Hii naomba kukaribiswa kundini,nilikuwa ninatafuta habari za ukulima bora wa mahindi kwenye google,ndipo nilipokutana na na ndugu bennet ambae maelezo yake kuhusu ukulima bora wa mahindi...
Mie ni new member ktk hi site.Bravo kwa wote ambao ni wakongwe ktk site hii,napenda kupata changamoto mpya hapa JF za kidunia katka sekta zote za kimaisha.I knw we learn and geting experiens...
Wanafunzi wa elimu ya juu waliokosa mikopo na hatimaye wakapata baadhi,je waliokosa na wana sifa kwa awamu ya pili, serikali ilaumiwe ama ndivyo mambo yana vyokwenda kwa kufarijiana kua bajeti...
Naitwa Vene, nikiwa humu. Nimefurahi kujiunga hapa ili kuelimishwa na kuelimishana na wana jf katika masuala mbalimbali yatuhusuyo wote. Tutakua pamoja na nashukuru kwa ukaribisho.
ndo nimeingia tuu leo humu mjini kwa wanajamii, nimevutiwa na watu wanavyochangia mambo ya kila cku yahusuyo matukio na maisha ya watu katika saisa , burudani , uchumi, michezo , maendeleo na...
Waungwana, mimi nachangiaga topic tu na nilikuwa sijajua namna ya kupost topic yoyote! ila leo nimebahatisha, sasa wanandugu naomba mnielekeze namna ya ku-attach picha, yaani hapa ndo ishu kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.