Usihofu taratibu tu utafahamu namna ya kuweka hizo picha. Karibu sana!Nawashukuru sana! Ila naona toka nimeingia humu nachelewa sana kulala!Halafu hizi picha zenu???? Na mimi ntatafuta nzuuuuri niweke! Ila sijajua namna ya kuweka nimehangaika weeeee!
Pole mazee,utakaa sawa tu.Nawashukuru sana! Ila naona toka nimeingia humu nachelewa sana kulala!Halafu hizi picha zenu???? Na mimi ntatafuta nzuuuuri niweke! Ila sijajua namna ya kuweka nimehangaika weeeee!
inganganize tu itakubali!Nawashukuru sana! Ila naona toka nimeingia humu nachelewa sana kulala!Halafu hizi picha zenu???? Na mimi ntatafuta nzuuuuri niweke! Ila sijajua namna ya kuweka nimehangaika weeeee!