Na bisha hodi tayari nikiwa ndani ya nyumba hii ndo tabia zetu huko kijijini msishangae mimi ni Mtanganyika1 siyo mdanganyika naomba mnipokee tu,tutasalimiana baadae baada yakuketi ndo tamaduni...
Hakika wana JF nawapongeza sana kwa habari na changamoto nyingi za maisha katika nyanja zote.
nimeamua nami niongezeke kwenye jamii ,ili tuzidi kubadilishana mawazo mbalimbali kati ya aliyekuwa na...
hi every one im so happy to be here to share my thoughts and listen to other people opinions. most important is the way we get breaking news from Tanzania.... this is one of the greatest site to...
Hodi mpaka ndani,dushelele hapa.Pata na kibwagizwo kidogo.
Nilimwambie asile
Ye alikula akavimba akaja
Mtoto mzuri aliye zaa na yule jamaa
Mwenye mahela, akaniacha na njaa
Kwenye mataa
Yeye...
Salaam wana JF, leo ndio siku ya kwanza kabisa kujiunga nanyi katika Forrum hii. Nimefanya hivyo kutokana na kuvutiwa na uhodari wenu katika kuchangia mada mbalimbali hasa za kisiasa. Natumaini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.