Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Hello rafiki. Uzito uliokithiri umekua challenge katika kizazi chetu cha leo. Kumekuwa na njia mbalimbali za kupunguza uzito zingine kwa fad diets na zingine za long term plans. Mojawapo ya njia...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Binafsi sijawahi kuacha nywele zikuwe. Maana ni zile nywele flan hivi wenyewe wanaita kipilipili. Aisee ukiziacha wiki mbili zinakuwa kama unga wa sumaku[emoji1]. Halafu ukizingatia sijawahi...
2 Reactions
44 Replies
5K Views
Hellen Mirren Jeniffer Lopez Heid Klum Lady Kitty Spencer and Emma Weymouth
3 Reactions
0 Replies
476 Views
Jamani kuna ndugu yangu anateseka sana na kitambi amejaribu kunywa whisky za aina yote akiamini atapunguza kitambi jawabu -ve...kwenu wapendwa...afya bora kwa kila mtanzania... Apunguze kula...
2 Reactions
1K Replies
453K Views
Habari zenu mabibi na mabwana, Meno yangu ya chini yameoza yaani chini ya meno yanakama ukungu,sasa naona yananiletea show mbaya wakati wa kuongea na kucheka, nataka kuweza ya bandia, je ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Binafs nimekua nikipigilia pamba kwa muda mrefu sn Ila nataka ni punguze miondoko ya jeans na kujikita zaid kwenye style hii kwaajil ya kuweka status yangu vizuri zaidi
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika pitapita zangu nikakutana na duka moja la perfume na vipodozi , nikaingia kwaajil ya kuchukua mahitaji yang , sasa kuangaza nikaona perfume ya Hugo boss na bleu de chanel nikaomba anitolee...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za mda huu naomba kujuzwa jina la hivi vitambaa amabyo black Americans wengi wanapendelea kuviaaa na kwahapa dar ntavipatia wapi na vinauzwa shingapi.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nawasalim Moja kwa moja kwenye mada, nimejaribu kuchunguza kwa muda mrefu mabafu ya ke, unakuta miswaki mingi kweli, imewekwa. Mwanzo nilijua labda ya kuswakia, lakini nilikuja kukataa hoja hiyo...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania, Wapendwa naomba msaada wa kujua foundation powder nzuri kwa sie wenye ngozi za kiafrika,gharama zake na sehemu nayoweza kupata bidhaa hiyo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu Naomba kujua ubora wa hizo product mbili nataka kuchagua moja nijaribu. Ngoz yangu ina mafuta
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Nauliza tu. Je, bei gani kunyoa style ya kawaida tu. Na.. Naona mtandaoni wanatupia picha za warembo wamenyolewa je wananyoa na wanaume au? Nakuja Dar karibuni, sehemu nilizopanga kutembelea...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Binafsi nakerwa sana na Wanawake wenye tabia ya kuvaa wigs kichwani au kushonea nywele za bandia. Hii ni tabia ambayo kwakweli mimi huwa siipendi kabisa na huwa namwona Mwanamke wa namna hiyo kuwa...
15 Reactions
67 Replies
18K Views
Naomba wanawake mnijibu swali langu, hasa kwa wale mnao weka kucha za bandia halafu ndefu kupitiliza je? Mnafanyaje usafi kwa bibi na hayo makucha marefu vile?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi niwe mkweli, nikiwa hostel nabadilisha mara 1 kwa week. Kla jumapili nabadilisha. Nikiwa nyumban nakutaga tu mama amebadilisha. Sijui huwa anabadilisha mara ngapi 🤷 Kna huyu dada roommate...
1 Reactions
99 Replies
10K Views
Wadau naomba kujua nawezaje kukomesha kipilipili au kama kuna mafuta mazuri ya nywele ni yapi msaada tafadhali
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wana jf napenda sana kuwa mwana mitindo(model)naombeni ushauri nianzie wapi ili niwe model? .
2 Reactions
35 Replies
8K Views
Wakuu Kwema!... Tatizo la sisi wanaume wengi tunajishusha na kujidharau wenyewe mwisho kukosa dira ya mwanamke unayemtaka. point yangu hapa ni unadhifu na umaridadi wa akili na hata mwonekano...
9 Reactions
38 Replies
8K Views
Wakuu kwema? Nauliza kama ni sahihi kufanya kazi ukiwa na muonekano wa Rasta (dread). Je, kwa mazingira ya ofisi zetu hapa bongo (mfano mashirika ya umma, mashirika binafsi) wanaruhusu mwajiriwa...
1 Reactions
12 Replies
23K Views
Wakuu nimekuwa miongoni mwa mhanga wa matumizi mabaya ya unyunyu ni zaidi ya addicted kama mtu anaetumia mihadarati Ngumu mm kuacha kabisa cost me pesa nyingi kununua Kila kukicha hata kama...
6 Reactions
44 Replies
6K Views
Back
Top Bottom