Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Inawezekana umeolewa halafu bwana anataka kwenda kazini unatakiwa umuandalie mavazi lakini vyote unaweza ila kwenye kufunga tai unaumbuka, unaonekana mshamba pengine kukaripiwa na kuharibiwa siku...
9 Reactions
35 Replies
18K Views
Mimi ni handsome sana, mitaani kote wananisifu. Hata wanawake wananiambiaga. Lakini hawaachi kunikosoa tumbo langu hadi nimeanza kujichukia. Kwa kweli nakosa sana raha, namtongoza msichana...
21 Reactions
80 Replies
5K Views
Kwa wale kina Dada wanaopenda kubandika kucha mnatunzaje kucha zenu ili zisibanduke, maana kwa upande wangu napenda kubandika kucha, lakini napata changamoto katika kufua, kusugua sufuria etc au...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba kujuzwa kwanini vijana wengi huvaa mlegezo? Tatizo ni kuwa suruali inakuwa fupi au ni chupi mpya anataka tuione?
0 Reactions
128 Replies
17K Views
Ndugu zangu kama kichwa kinavyojieleza, mama kijacho wangu ameanza kupata shida ya michirizi kiunoni na tumboni hivi karibuni. Kwa mjuzi wa dawa tusaidiane katika hili tafadhali. Kabla sijafanya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mmeamkaje wana jukwaa? Moja kwa moja kwenye mjadala wetu hapo. Nataka mnunulia baby mama mafuta mazuri sambamba na unyunyu kama zawadi. Naombeni ushauri wa aina nzuri ya package upande huo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hapa panawahusu wadada so naomba nijibiwe na wadada. Mie sio mtaalam sana wa vitu vya kike vilivyo kwenye trend. Ila nataka kumnunulia wifi yenu zawadi kwa ajili ya valentine so ninataka kununua...
1 Reactions
8 Replies
911 Views
Jamani turejee. Kama utafatilia Sana hata queen family wanavaa magauni. Tuachane na vijinz.
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Zilikua zinawapendeza ila kwa uchunguzi wangu nilioufanya ,nimegundua siku hizi hawazivai. Shida nini wakuu?
8 Reactions
91 Replies
11K Views
Habari zenu wapendwa? Naomba mrejesho kwa mtu aliyewahi kutumia Goldie face cream, maana Mimi nina chunusi sasa nimeenda cosmetic wamenishauri nitumie hii face cream.
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Yaani hata uoge vipi ka harufu kako katakuwepo tu, wewe huto kasikia, watakasikia watu wa pembeni yako. Hata ujisugue mwili mzima na limao katakuwepo tu. Ukido, kanahamia na kwa mwenzako...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Na kama haitoi nitumia sabuni gani? Nawasilisha.
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Imekua ni utamaduni kwa wanawake kunyoa sehemu za siri na kubakiza upara kabisa, hii inaweza kusababisha kushambuliwa kwa urahisi na bakteria. ''Unavyonyoa sehemu za siri, unasababisha usumbufu...
3 Reactions
47 Replies
6K Views
Wakuu salama hapa Mi kijana wa miaka 34 January 2023 natimiza 35 Nimetokewa na mvi kwenye ndevu ghafla nimeipenda hii hali nahitaji kabisa hizi ndevu zote ziwe nyeupe kabisa na huku kichwani...
10 Reactions
15 Replies
2K Views
Asiwe mweusi si yaani kama balaa. Nataka mtoto ambaye sio crazy coloryaani inapendezansana
7 Reactions
34 Replies
6K Views
Nimekuja jukwaana hapa naomba kujua vyakula , matunda , vinavyosaidia ukuaje wa ndevu hata kidogokidogo? Nawasilisha kwenu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimechanganyikiwa kichizi, bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney. Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe...
13 Reactions
117 Replies
19K Views
Nina rafiki yangu wa muda mrefu tu na wala hatujawahi kuwa na tatizo, isipokuwa tu akivua viatu yaani chumba huwa kinajaa harufu kali. Ila yeye wala haonagi noma! Nitawezaje kumjuza bila kumkwaza?
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Nimekuwa nayatumia haya mafuta huku sehemu ya baridi. Lakini leo nimejiangalia kwenye kioo nimekuta ngozi ya uso haifurahishi na imetoka vidoa vyeusi! Je, mnaotumia nanyi mnasemaje?
3 Reactions
43 Replies
7K Views
Ulishawahi kujiuliza labda ndani ya 60s, 70s, 80s au 90s kwamba kipindi hicho kama wanaume walikuwa wakipagawa na makalio makubwa ya wanawake kama ilivyo sasa? Je, wanawake pia waliweza...
10 Reactions
221 Replies
16K Views
Back
Top Bottom