mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Binafsi sijawahi kuacha nywele zikuwe. Maana ni zile nywele flan hivi wenyewe wanaita kipilipili.
Aisee ukiziacha wiki mbili zinakuwa kama unga wa sumaku.
Halafu ukizingatia sijawahi kumiliki kitana nyumbani kwangu.
Basi naamua tu kujipigia zangu LOW CUT kila wiki.
Nazungumzia nywele za kichwa jamani (kichwa cha juunchenye ubongo)
Hebu twambie wewe mnyowo wako
Aisee ukiziacha wiki mbili zinakuwa kama unga wa sumaku.
Halafu ukizingatia sijawahi kumiliki kitana nyumbani kwangu.
Basi naamua tu kujipigia zangu LOW CUT kila wiki.
Nazungumzia nywele za kichwa jamani (kichwa cha juunchenye ubongo)
Hebu twambie wewe mnyowo wako