Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari wadau,poleni na msiba. Nauliza wazoefu wa kubadili shirt la rangi nyeupe kuwa la rangi ya blue,mnatumia ile blue powder ya kipindi kile? Na je nguo itaendelea kung'ara kama awali ikiwa...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Mavazi mengi tumeiga. Suti,sketi na brouzi, suruali, kaptula hata Nguo za ndani. Kanzu,hijabu etc zote ni imported styles. Hili vazi LA dera sijui dela asili yake ni wapi. Nimefuatilia sioni...
3 Reactions
95 Replies
12K Views
Bei, ubora na sifa zake nyingine
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wadau wa JF, Nimekuwa nikifanya utafiti mdogo wa wanaume wengi wanaojihusisha na ubunifu wa mavazi duniani kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja lakini nikashindwa kupata majibu yaliyo...
3 Reactions
716 Replies
144K Views
Dunia imeenda kasi sana yaani viskirt tight leo hii imekuwa Ni fashion?si nguo za ndani hizi mnavaa mpaka mjini barabarani hamna aibu msichokijua Ni kuwa wanaume tunapenda wanawake wanaojisitiri...
13 Reactions
93 Replies
14K Views
Usafi na mpangilio mzuri wa vitu vya ndani huenda pamoja. Huwezi kuwa msafi lakini ushindwe kupanga vitu vyako vizuri. Wana saikologia husema mpangilio mzuri wa vitu husaidia akili kutulia...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Baada ya jana mwenyekiti Msolla kufafanua kwa ufasaha issue zinavyoenda na jinsi maadui wa team hiyo walivyo hack simu yake na kumtukana Metacha Mnata kwamba ni duka na mchawi mambo yameendelea...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa aliewahi tumia perfume hii iitwayo fiero naomba anipe dondoo zake: i)Bei ii)ubora wake wa harufu/kunukia
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kumekuwepo na ongezeko la Idadi kubwa ya wanawake wanaotoboa pua zao na kuziwekea vipini. Nani aliwadanganya wanapendeza kuvaa hereni puani?
8 Reactions
105 Replies
19K Views
Umezaa ,Hujazaa ila unataka Kitumbua ambacho mlaji akila ,anapagawa Imarisha Misuli Kazi kwenu[emoji116]
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Maana kila mtu anayo harufu yake..... Hebu fikiria? Utamwachia nawe upo taaban ...!
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana forums naomba 2share mawazo wanaume zipi sifa au mambo muhimu kwenye chumba cha kulala cha mwanaume Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
43 Replies
11K Views
Kapita mdada huyo amejikiroga koroga na mikorogo amebabuka kama kababu aisee nimerudi nyumbani nimeshindwa kula hata nyama. Hivi nani kawaambia mkijibabua ndo tutawapenda kwanini hamthamini rangi...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Unakuta mdada mzuri wa sura anavutia usoni ukimtizama ila tumbo sasa dah mpaka linaning'ing' inia. Wengine hata hawajazaa bado lakini tumbo lishaanza kuvutwa na gravitational force, hivi hizi bia...
4 Reactions
84 Replies
8K Views
Hawa mabwana wametuinua sana. Dada zetu sikuhizi wanapiga mizinga ya kununuliwa Mossimo, na sio viatu vya bei kubwa Kwa trend ya sasa, Wanawake nadhani nusu yao hapa Tanzania wanavaa Mosimo Na...
6 Reactions
10 Replies
4K Views
Hamjamboni, kwa kweli kwa moyo mweupe naomba sana nikushukuru mwana JF Evelyn Salt. katika thread moja ya lotion ipi nzuri isiyochubua. kuna sehemu ulicomment kuhusu kutumia mafuta ya mawese na...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Mimi ni kijana 26 likizo hii nimeishi na mwanafunzi wangu ,tatizo linakuj uyu dogo kaja na chawa nimewakuta kwenye nguo zake mi siku zote napenda sana usafi asa kuna chawa wamejenga kibanda kwenye...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
wakuu kwema? Binafsi niko safarini kuelekea mkoani katika harakati za kutafuta grisi ya kulainisha ugumu wa maisha. Hii safari yangu imekuwa mbaya sana kuliko safari zote nilizo wahi kusafiri...
6 Reactions
54 Replies
10K Views
Salaam Wakuu, Mimi napenda kuvaa Socks, lakini tatizo kubwa ni kupata socks zinazofanana. Ikifika asubuhi mimi navaa Socks iliyokaribu muhimu iwe safi. Sababu hamna kazi ngumu kama kutafuta...
5 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari! Kila kukicha kuna jambo jipya mengine ya kustaajabisha na mengine yakuuzunisha katika jamii. Wimbi kuwa la vijana wetu wa kiume wamekuwa wakijisahau kupita kiasi sababu jamii kwa sasa...
11 Reactions
35 Replies
10K Views
Back
Top Bottom