Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,023
- 71,231
Umezaa ,Hujazaa ila unataka Kitumbua ambacho mlaji akila ,anapagawa
Imarisha Misuli
Kazi kwenu
Imarisha Misuli
Kazi kwenu
Hahaha nyie wa above 27 sina shaka nanyie BabyUmechelewa kutuambia we nae.tunayajua
Naona umeamua kunizeesha babe..Hahaha nyie wa above 27 sina shaka nanyie Baby
Muwasaidie wadogo zenu wa chuo basi nawengineo .
Uje unifundishie nyumbani kama hutojali..Umezaa ,Hujazaa ila unataka Kitumbua ambacho mlaji akila ,anapagawa
Imarisha Misuli
Kazi kwenuView attachment 1717477View attachment 1717478View attachment 1717479View attachment 1717480View attachment 1717482
Heee baby ivi kumbe upo kwa under 27Naona umeamua kunizeesha babe..
Mume mwenzio alinifundisha mda sana hiyo kitu..
Wewe si ulikuwa bize na kuchepuka...ehee
Imeisha hiyoooo
mafunzo kwa vitendoUje unifundishie nyumbani kama hutojali..
Mfyuuuu😂😂😂mafunzo kwa vitendo
Nmekubali kwa moyo wangu mkunjufu nahasa ukizingatia wee ni Blood wangu kabisa
P tupa kule
Tuanze lini mama ? Mtumwa wako niko hapa mbele yako,nikiwa mwenye nguvu nautayari wa kutumikishwa nawee Malikia wangu, muda wowote namahali popote.Uje unifundishie nyumbani kama hutojali..
Hahahahaha uwiii yaaan weee ,nimependa kwamba, bado unajali mbegu za mabogaMfyuuuu
Haya usisahau tuu na mbegu za maboga kwa nguvu zaidi
Em niache mimi,nikikumbuka zilivyoliwa na panya hata hamu sina..lol😩😆Hahahahaha uwiii yaaan weee ,nimependa kwamba, bado unajali mbegu za maboga
Wewe tena huyoooo...Tuanze lini mama ? Mtumwa wako niko hapa mbele yako,nikiwa mwenye nguvu nautayari wa kutumikishwa nawee Malikia wangu, muda wowote namahali popote.
Hebu hukoooo🤣🤣🤣🤣🤣Heee baby ivi kumbe upo kwa under 27
Mie nikupeleka moto tu
Sasa nikitulia nawewe tu mmoja, jamaan wenzio watakoswa , kizur kula na mwenzio
Au Nasema uongo ndugu zangu?