Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari wanajamvi, Nimekuwa nikitafuta mafuta ya massage kwa muda mrefu sana bila mafanikio, ningependa kujua ni mafuta gani ambayo ni bora zaidi kwa kufanyia massage na nikijua na bei itakuwa...
0 Reactions
4 Replies
11K Views
Kope nazo humpendezesha mwanamke kuna aina ya rangi za kupaka kwenye kope, lakini zinatofautiana. Ni vyema ukawasiliana na wataalamu wa mambo ya urembo kwa ushauri na siyo kukurupuka. Siyo...
4 Reactions
13 Replies
5K Views
Nywele zangu ni ngumu na zinavozid kukua zinakuwa brown in colour. Kama kuna anaejua mafuta mazuri ya kuzifanya ziwe rahisi hata kuchanika anitajie (lain na kuretain colour)
3 Reactions
27 Replies
19K Views
Kumbe bwana hata waafrica tuna nywele ndefu tu kama wazungu Hii thread Ni maalum kwa watu wenye nywele natural I mean tunaotaka nywele ndefu bila dawa aka relaxer Hapa tutashare uzoefu Nini Cha...
5 Reactions
15 Replies
5K Views
Wakuu wasalaam. Kheri ya mwaka mpya. Mwenyezi Mungu akatujalie afya njema na mafanikio tele 2021. Ndugu wana JF, natafuta hizi sabuni aina ya ALFA kama inavyoonekana Pichani. Hizi sabuni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
^suruali ya kitenge ^mavazi yenye rangi ya pink ^kaptula (kwenye halaiki au event) Kwanini?? #wataalam wa "pamba" nisaidieni hili
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Sijui nina tatizo au la, ila mimi nachukia sana kuona mwanamke kavaa kyupi, Na vise versa naenjoy kuona KE akivaa boxer, nakua na amani Nakumbuka mwaka fulani nilikua na date na tom boy yeye...
4 Reactions
58 Replies
8K Views
wakuu nahitaji perfume au bodyspray nzuri ya bei rahisi kikwapa kinanitesa saana msaada wenu
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Katika matukio yaliyotrend week iliyopita moja wapo ni wedding reception ya Mboni Masimba,mwanamama machachari mwenye kipindi chake TBC -Mboni talk show. Mboni aliolewa na bwana Tajiri mwezi mmoja...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Nawasilisha kwenu wakuu. nimekuwa na safari nyingi na mwili umechoka sasa. Kama sio Magomeni basi iwe karibu.Au kama una contacts zao nimlete hapa kwangu.
1 Reactions
33 Replies
11K Views
Mtu anae fanya mazoezi ya kukimbia anaweza ondoa kitambi au mpaka aende jim.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Cerave moisturizing Cream gharama yake 70,000/= anayejua mengine yenye gharama zaidi atujuze...Uzi tayari
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Ni cerave moisturizing Cream Bei yake ni 70,000/= anayejua yenye gharama zaidi atujuze Uzi tayari.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hali zenu wote wana JF. Zifuatazo ni body scrub zitakazokutakatisha mwili,matumizi yake ni kila wiki mara moja. [emoji254]UNGA WA KAHAWA NA MAFUTA YA NAZI. vichanganye vyote ivo upate ujazo ambao...
11 Reactions
22 Replies
24K Views
Sina hata haja ya kusalimia, Kama kichwa cha habari kinavyo sema, naombeni mueleze wazi kabisa kwanini nyie wanawake mkisha olewa mnajisahau na badala yake mnakua rafu sana? Kila saa makanga kila...
12 Reactions
24 Replies
4K Views
Bandugu nina wahi sana kuota ndevu na masharubu(timba) yaani nikinyoa hazipi siku tano yashajaa tena haswa haswa hizi timba ndiyo kero kabisa. Nikisema nikae mwezi bila kunyoa unaweza sema...
1 Reactions
32 Replies
11K Views
Je unaujua mfuko mdogo katika suruali yako ya Jeans? Ndiyo, ule ambao umeshonwa juu kidogo ya mfuko mkubwa wa kulia. Umewahi hata mara moja kusimama na kujitafakari kwa nini huo mfuko mdogo mbele...
27 Reactions
69 Replies
23K Views
Baadhi ya wanawake/kinadada ni janga. Unakutana na mwanamke kwenye daladala sjui ni wigi linatoa uvundo ama ni yeye mwenyewe basi ni karaha tupu. Ukimuangalia usoni make up ya maana! Mkononi...
19 Reactions
88 Replies
12K Views
Hawayuni wakuu, mko poa! mimi huwa nanyoa kipara mara nyingine kwa mashine mara nyingine nanyolewa na kiwembe, shida moja japo watu huniambia upara wangu uko sawa lakini mimi napenda ung'ae uwe...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari zenu wapendwa? Poleni na majukumu nipo Dodoma mjini natafuta fundi anayeshona vizuri nguo za kike nataka nishone nguo ya shughuli, naombeni anayemfahamu kwa hapa Dodoma anielekeze mahali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom