Kwa wanaume wenzangu

Wapo watakaokuja kusema kunguni!!

Binafsi sipendi makorokocho mengi ila hewa iwe ya kutosha mpangilio wa vitu kuwe na kiti moja safi Kama vile vya plastic coz nikiwa nawaza au nasoma huwa napenda nikae ktk pozi la vile viti and I don't know why napenda viti vile!!
 
Back
Top Bottom