Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wakuu, Natafuta mbegu ya chakula cha kuku azola kwa mkoa wa mbeya, naweza kupata wapi? Maana nimetafuta sana nimekosa. Au kama kuna mdau anauza basi anicheki please.
1 Reactions
3 Replies
645 Views
Habari wakuu Naomba kujuzwa mm nimkulima wazao la michungwa msimu huu machungwa yamekua na ukungu mweusi na majani yake ya michungwa yamekua meusii kama kwenye picha. Msada wakuu
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu, nimenunua shamba milimani huko, shida yake hili shamba ni maji, ukitaka kulima mazao lazima usubirie msimu wamvua. Sasa nataka nilipande mazao ya muda mrefu ambayo yanahitaji kumwagilia...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
KILIMO CHA NYOKA Achana na Matikiti sijui Kuku, sijui Vitunguu sijui Mayai ya kwale hili sasa ndio suluhisho, kilimo cha Nyoka ni suluhisho. Kwa mujibu wa hisabu za calculeter yng ya cm, hebu...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar wakuu. Swali langu ni kwamba endapo nkichanganya jogoo la sasso na tetea wa kienyeji breed itakayo toka hapo ni ya sasso au laa.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Bei ya Michele huko kwenu ipoje?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Elimu kidogo kuhusu Namna na njia sahihi ya uzalishaji vifaranga vya kambale kupunguza idadi ya vifo (mortality rate) Kambale ni samaki mwenye thamani kubwa katika tasnia ya uvuvi na uzalishaji wa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Pata ushauri jinsi yakufuga viumbe hai majini kisasa kama samaki aina ya sato, kambale n.k Elimu kidogo juu ya ufugaji samaki aina ya SATO Ufugaji Samaki Aina ya Sato Ufugaji samaki aina ya...
1 Reactions
0 Replies
811 Views
Habari wanajamvi wenzangu! Tatizo la ajira limekuwa sugu lakini nimekuja na suluhisho ambalo litaweza kuongeza kipato kwa sisi watu wa chini na hasa waliomaliza chuo na kukosa posts. Naeleza...
20 Reactions
39 Replies
22K Views
Wasalaam ndugu zangu,naamini mu wazima wa afya. Leo nataka nilale nikiwa najua ni hatua gani kama mfugaji mdogo anatakiwa kuzijua pale tu anapokuwa na wazo la kuanza ufugaji Kwa mara ya kwanza...
1 Reactions
0 Replies
744 Views
msaada jamani ndugu zanguni wataalamu wa kilimo. nahitaji mashine ya kuvuna mpunga inaitwa power reaper bainder(inavuna nakufunga bando yenyewe)napata wapi na bei ? km inavyoonekana kwenye picha:
0 Reactions
10 Replies
800 Views
Jamani nilikuwa naomba kuuliza gharama za kuweka mfumo wa drip irrigation kwa ekari moja,
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Mfumo wa umwagiliaji wa matone (Drip irrigation system) unafanya kazi kama zile drip za hospital za kuongezewa maji au damu ambazo huwa tunaziita drip... wanasemaga mtu katundikiwa drip ya maji...
8 Reactions
20 Replies
12K Views
Wanaoitwa wataalamu wa kilimo na mifugo ndio wanasababisha wakulima na wafugaji wengi waangukie pua kwa faculty hii. Nikafanya utafiti kidogo elimu ya maafisa kilimo na mifugo ngazi ya kijiji na...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Maboga ni moja ya Chakula kinacho weza tumiwa kutatua njaa inayo sababishwa na ukame, sema ni vile Jamii ina under rate Maboga lakini yana uwezo mkubwa sana linapo kuja swala la njaa. Wakulima wa...
11 Reactions
16 Replies
2K Views
Ikitokea mbuzi amekula mboga mboga bustanini bas kuna asilimia kubwa ya hizo mboga kukauka au kuendelea kusurvive kwa shida na hatimae kufa ila ng'ombe akila hakuna kitakachotokea nini...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
naleta kwenu Hoja...ya maelekezo ni gear gani or equipment gani ninunue iliiniwezeshe kufyeka Shamba jipya lenye miti midogo kwa tractor 1:YouTube nimeona hii gear inaitwa bush hogg.... Please...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanazengo kichwa cha habari kimejieleza Natanguliza shukrani kwa atakenipa ABC kwenye hilo. Mi ndio kwanza naanza hicho kilimo nataka nitumie kumwagilia kwa matone " drip irrig." 1. Kitalu kama...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Kutokana na Taarifa ya hapo chini kutoka Azam Tv: KUSHUKA KWA BEI YA MAHINDI, NINI SABABU NA KIFANYIKE?: Hoja ya kuporomoka kwa bei ya mahindi nchini imetinga kwa mara nyingine bungeni baada ya...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari za muda huu, Nimeanza kufuga kuku wa kienyeji ila changamoto ilionileta hapa ni kuwa.... Kuna jike moja wapo lilianza kutaga mpaka sasa ana mayai zaidi ya kumi ila kila akitaka kutaga...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom