Asante kwa ushauri nitaufanyia kazi!!Vifaranga vyangu kwa sasa vina siku 23Inategemea na wapi unafugia pia ni vifaranga vya nini. Kwa eneo lenye Baridi kama Iringa, Mbeya na Njombe. Huwa tunawaweka 30 days kwa vifaranga wa Kuku na 7 days vya bata. Hii ni kwa uzoefu wangu kwani nafugia sehemu yenye baridi kali Mbeya.
Asante kwa ushauri nitaufanyia kazi!!Vifaranga vyangu kwa sasa vina siku 23Inategemea na wapi unafugia pia ni vifaranga vya nini. Kwa eneo lenye Baridi kama Iringa, Mbeya na Njombe. Huwa tunawaweka 30 days kwa vifaranga wa Kuku na 7 days vya bata. Hii ni kwa uzoefu wangu kwani nafugia sehemu yenye baridi kali Mbeya.