Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Vijana wa Bashe tunaosubiri mradi wa kilimo na ufugaji wa building a better tomorrow (BBT) tupeane yanayojiri hapa..
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza bei ya jumla ya nyanya soko la Mabibo.
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Habari za kazi waungwana. Samahani naomba kufahamu jambo hili linanitatiza kidogo. Hivi endapo nitatumia majogoo ya kuku chotara aina ya kuroilers kupandisha mitetea wangu wa kienyeji, majike ya...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
CAM STORE ikishirikiana na Mifugo Plus Tumekuletea BioEarn Feed Additives ama nyongeza ya malisho. Virutubisho vya BioEarn vimetengenezwa kitaalamu kwa kutumia Unga wa mimea yenye Vitamini na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakulima wengi wanalima viazi mviringo kwa sasa mikoa ya Njombe na Mbeya watu wengi wanavuna.. Kwa wanaojua masoko ambayo tunaweza kuuza kwa bei nzur tuwasiliane hapo chini. Lakini pia kama una...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wana bodi wote,Wasalaam! Jamani kama kuna mtu ana ujuzi wa kuweza kutambua yai la kuku jogoo na mtetea hata kabla ya kuanguliwa anisaidie! Ninafuga kuku lakini nahitaji...
0 Reactions
26 Replies
12K Views
Wanajamvi naomba kufahamu, kwa wenye ujuzi na uzoefu wa kilimo cha Maboga lishe. Ni mbegu zipi Zina zaa Sana na matunda yake yanakuwa makubwa, na soko lake likoje kwa Tanzania hapa. Naomba...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Natafuta water pump kubwa ya nch 8 au 10 ,ikiwa ya mtumba itakua vyema Kama hii
0 Reactions
2 Replies
493 Views
Enyi matabibu wa JF. nisaidieni wajameni. natafuta dawa ya mende wananisumbua sana. dawa za kihindi za kupuliza nimejaribu aina aina lakini nimenawa, maana nikiwapuliza wanalala tu badala ya...
0 Reactions
38 Replies
51K Views
Habari wanajf,ningependa kujua ni lini vifaranga vinatakiwa vitolewe kwenye BRUDA au lile Duara la silingi bodi linalotumika kuhifadhi joto kwa vifaranga ,ninaomba mnielimishe.Nimeambatanisha na...
0 Reactions
3 Replies
875 Views
Msimu wa sikukuu uwe mwema kwenu! Tangu mwaka jana niko kijijini kutafiti namna gani ufugaji na vifanananavyo vinaweza kuniongezea kipato,kwa ufupi kila nilichojaribu kimeonesha kina uashiria wa...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Uzalishaji wake,Haki ya hewa,Mavuno,bei na Changamoto zake maana inaonekana ni dhahabu iliyojificha.
1 Reactions
3 Replies
986 Views
MBUNGE SALIM HASHAM AMETOA MATREKTA BURE ILI VIJANA WALIME WAINUKE KIUCHUMI Katibu wa Mbunge Jimbo la Ulanga mkoani Morogoro Thomas Daffa amewataka vijana wa Wilaya hiyo kutumia vyema fursa ya...
1 Reactions
3 Replies
708 Views
Habari za asubuh . Kuelekea msimu wa kiangazi ni msimu ambao sisi wakulima tunauita msimu wa kukosa kutokana uhaba wa maji , Ila mm Kuna kitu namefikiria kukifanya kwenye sector ya umwagiaji...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Naomba kama kuna mtu humu ambae anajishughulisha na Utotoleshaji wa vifaranga wa kuku wa kisasa wa mayai Ama mtu anaemfahamu wakala yeyote Anajishughulisha na hao vifaranga, nina shida nao...
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Habari ndugu, Aina gani ya mbegu ya pioneer inafaa kwa mahindi ya kuchoma ukanda wa Pwani?
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nataka kupanda mahindi kwenye wilaya za Karagwe na Ngara. Naomba kushauriwa mbegu bora inayofaa katika wilaya hizi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina eneo kubwa bwawa kubwa mkoani Tabora natafuta mtu wa kushirikiana naye tufunge samaki Mawasiliano 0693214177
1 Reactions
1 Replies
802 Views
Natarajia kuanza kuvuna Maharage mwezi huu nimeiona ni vema nianze kutafta soko mapema kabla ya kuanza kuvuna. Aina ya Maharage ni Uyole Njano (goroli).
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom