Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 17,871
- 33,235
Kinadharia ufugaji wa sungura kibiashara ni jambo lenye kuleta matumaini sana, lakini kiuhalisia ni biashara yenye utata mkubwa sana kwa hapa kwetu Tanzania.
Makampuni mengi yanayohamasisha ufugaji wa Sungura ni kama yale makampuni ya uuzaji bidhaa kimnyororo (Supply Chain companies) ambako faida inapatikana kwa kuongeza washiriki kwenye biashara husika.
Unapoingia kwenye ufugaji wa kibiashara wa sungura, Makampuni mengi yaliyoko hukuuzia sungura wa kuanzishia mradi, kukujengea banda, kukuuzia chakula cha sungura mengineyo utajijua mwenyewe, kwani ahadi nyingi za kutafutiwa soko la sungura huwa ni Uongo wa kupindukia ulipangiliwa kiakili sana
Nadhani wale wanaotaka kufuga sungura kibiashara wajaribu wenyewe kwanza kutengeneza soko la nyama ya sungura kabla ya kufuga sungura hao kwa wingi.
------------------
Soma maoni ya mdau juu ya jambo hili
Si kwamba ufugaji wa Sungura ni utapeli, no ni uwezo wetu wa kuwaza umeisha
Makampuni mengi yanayohamasisha ufugaji wa Sungura ni kama yale makampuni ya uuzaji bidhaa kimnyororo (Supply Chain companies) ambako faida inapatikana kwa kuongeza washiriki kwenye biashara husika.
Unapoingia kwenye ufugaji wa kibiashara wa sungura, Makampuni mengi yaliyoko hukuuzia sungura wa kuanzishia mradi, kukujengea banda, kukuuzia chakula cha sungura mengineyo utajijua mwenyewe, kwani ahadi nyingi za kutafutiwa soko la sungura huwa ni Uongo wa kupindukia ulipangiliwa kiakili sana
Nadhani wale wanaotaka kufuga sungura kibiashara wajaribu wenyewe kwanza kutengeneza soko la nyama ya sungura kabla ya kufuga sungura hao kwa wingi.
------------------
Soma maoni ya mdau juu ya jambo hili
Si kwamba ufugaji wa Sungura ni utapeli, no ni uwezo wetu wa kuwaza umeisha