Hawa ni viroboto mkuu. Tumia mafuta ya mgando kupaka hii sehemu yenye viroboto.
Mwambie atumie mafuta ya taa kwenye eneo lenye viroboto watakufa mkuuHawa ni viroboto mkuu. Tumia mafuta ya mgando kupaka hii sehemu yenye viroboto.
Pia fanya usafi bandani kwa kudeki na sabuni ya unga halafu nunua Akher Powder nyunyuzia bandani kwenye kuta na sakafu yote na nyengine wanyunyuzie hao kuku kwenye miili yao.
Pia nenda kwenye maduka ya dawa za mifugo kuna dawa watakupa ambayo unachanganya kwenye maji ya kunywa kwa maelekezo yao ili hao viroboto wakinyonya tu damu ya kuku watakufa kwakuwa watanyonya sumu.
Mafuta ya taa kwa vifaranga watakufa.. Sevin powder ipo vizuri zaidi. Ila kikubwa afanye usafi zaidiMwambie atumie mafuta ya taa kwenye eneo lenye viroboto watakufa mkuu
Vifaranga wanakufaje wakati anapaka tu sehemu yenye viroboto mkuu? Kuwanywesha ndio tatizo mkuu lakini kupaka tu hakuna tatizo.Mafuta ya taa kwa vifaranga watakufa.. Sevin powder ipo vizuri zaidi. Ila kikubwa afanye usafi zaidi
Mafuta ya taa Kwa Vifaranga unatakiwa upake Kwa uangalifu la sivyo wanakufa, Mimi nilishawahi kufanya hivyo naona nilizidisha mafuta ya taa, na Vifaranga vilikufaVifaranga wanakufaje wakati anapaka tu sehemu yenye viroboto mkuu? Kuwanywesha ndio tatizo mkuu lakini kupaka tu hakuna tatizo.