Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amekitaka Kiwanda cha Kuzalisha Bidhaa za Kibaolojia Tanzania (TBPL) kuzalisha kibiashara viuatilifu hai (Biopesticides) kwa kasi kwa...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Nilisimama kulima nyanya kwa muda mrefu, na sasa nataka kurudi kulima nyanya tena. Naombeni msaada wenu ipi mbegu bora ya nyanya kwa sasa na haipigwi na kinyausi.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Na Laudence Simkonda -Momba Mbunge wa Jimbo la Momba Mheshimiwa Condester Sichalwe (Mundy) ameiomba Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko(CPB) kuanza kuona uwezekano wa kujenga kinu cha kuchakata...
1 Reactions
1 Replies
676 Views
Hlw guyz, Nashida na vifaranga vya kanga vya wiki moja nipo Kibaha Pwani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
-Gharama za kuzalisha mkonge kwa ekari moja -Tathmini ya mapato kwa mavuno ya mwaka wa I -Tathmini ya mapato kwa mavuno ya mwaka wa II -Kipindi cha marejesho (Payback period) Kilimo-Biashara...
7 Reactions
31 Replies
17K Views
Habari zenu wadau, Kwa wale wafugaji wa Bata, Kuna ukweli wowote kwamba ukigusa mayai ya bata Basi yanaoza, hayawezi kutotolewa? Au Ni Imani za watu tu? Wazoefu mtupe uzoefu. Karibuni.
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Nimekuwa napata changamoto kwa upande wa hizi incubator ndogo za sido hata za kichina. Zimekuwa nyingi hazina utotoleshaji wa kueleweka. Mara nyingi ni pata potea. Siku nyingine inafanya vizuri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wa JF naomba mwenye uelewa kuhusiana na swala la ufugaji wa guruwe anipe ABC. Namba ya kuanza na changamoto zake na tiba zake kwa sasa afikiria kuanzisha hiyo programu. Karibuni kwa ushauri
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Huku Arusha huwa naona mabas yanapakia sana Karoti kupeleka maeneo kama Singida, Dodoma, Tabora huko na kadhalika. Karotu ni biashara kubwa sana kwa huu ukanda wa kaskazin na karoti nyingi sasa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, Nahitaji Nafaka Hizi Hapa Chini. Ulezi Msafi (Grade 1) Tone 20 Ufuta Msafi (Grade 1) Tone 20 Weka Namba Za Simu Nikupigie Kama Una Nafaka Husika Na Mmiliki Mwenyewe
1 Reactions
5 Replies
760 Views
Wakubwa kwa wakazi wa Arusha nahtaji anayeuza bata wadogo na kuku hasa croila, saso au malawi naomba connection.
1 Reactions
2 Replies
720 Views
Mimi ni namiliki shamba la parachichi mkoani njombe ukubwa NI heka10 na shambo lipo juu ya mlima na kwenye upunde wa mlima chini ya mlima huo ndio kuna bonde na chanzo cha mto sasa naitaji...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kijana wangu alitafuta ajira kwa miezi sita baada ya kumaliza chuo. Mwisho tuliamua kuingia katika kilimo cha mboga mboga. Shamba ni la urithi la ekari tatu, tulikodi trekta kung’oa visiki...
6 Reactions
25 Replies
4K Views
Zao la Soya lina protini nyingi yenye ubora wa hali ya juu kuliko iliyoko katika aina nyingine ya mazao ya mimea. Kiasi cha protini katika soya inazidi hata kiasi cha protini katika nyama, mayai...
2 Reactions
31 Replies
33K Views
Ndugu zangu, poleni na majukumu ya kikazi, nimepatwa na wazo la kulima miwa pale Kilosa kwa ajili ya kuuzia kiwanda cha Mkulazi kwa ajili ya kutengeneza sukari. Nimepata shamba la heka sitini...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimekua nikijihusisha na ufugaji wa kuku. Ila sasa naona wanakufa. Kuku wangua nawaachia wazunguke ndani ya geti. Yaani wanatoka kwenye banda na kuzurura ndani ya geti tu. Ila cha ajabu kuna muda...
2 Reactions
8 Replies
749 Views
Sayansi na teknolojia ni maendeleo ya mwanaadamu ambayo yanaelekea kuiharibu Dunia yetu nzuri tuliyozawadiwa na Mungu. Hii ndo kusema akili za mwanaadamu sasa zimepindukia kiasi cha kumdhuru yeye...
1 Reactions
8 Replies
839 Views
Kulingana na gharama za sasa za mbegu na mbolea, naomba analyst mmoja ambae ana uzoefu shambani anisaidie simple estimation ya hizi: A. Je, mbolea ninazotakiwa kutumia ni zipi na kwa kiasi gani...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Mwaka huu nimelima tikiti, I provided everything needed ila bado mazao hayanenepi, sababu kubwa iliyoni cost ni USIMAMIZI MBOVU. Mimi ni mwajiriwa kwaio sikuwa na muda wa kutembelea shamba...
6 Reactions
14 Replies
3K Views
Wanajf siku chache zilizopita nilikuja hapa jukwaani na kuwaomba ushauri kuhusu ugonjwa huu wa vifaranga ambavyo vinaharisha halafu kinyesi kinaganda sehemu yao ya haja kubwa, mlichonishauri...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…