Wilaya ya mvomero tarafa ya mgeta kuanzia maeneo ya mlali, nyandira, tchenzema, langali.......Wakuu
Sahihi Yaani Ukianzia Kingolwira, Tungi, Bigwa, Mgolole Kwa Ma~Sister, Kiloka, Unapita Pangawe Jeshini Huko Ni Nyingi Sana SanaMboga nyingi zinalimwa hapahapa mjini Moro kama mchicha,sukumawiki,spinach tembele vyote hivyo vinalimwa hapahapa mjini,kama unahitaji eneo la kupanda mchicha na vitu vidogovidogo.0655212301