Kutoka kuwa kazi ya maskini hadi kuwa kimbilio, kilimo chaongoza kuvutia mikopo kutoka kwenye mabenki kwa 55.5%

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,115
49,838
Mageuzi ambayo yamekuwa yakifanywa na Serikali ya Rais Samia yamekifanya Kilimo kuwa sekta kimbilio na ya kuaminika.

Ikumbukwe miaka michache Iliyopita Kilimo kilikuwa kinaonekana ni kazi ya maskini na ya laana na ambayo Haina future Kwa kuwa tuu ilipuuzwa na mamlaka za serikali.

Lakini Toka Rais Samia Ameingia Madarakani amebeba ajenda ya Kilimo mabegani kwake sio Kwa maneno bali Kwa vitendo Kwa Kumwaga Mabilioni ya pesa Hadi kufikia Bajeti ya Bil.970 kutoka chini ya Bil.300.

Lengo la Serikali ni Kuwavutia Vijana na kuwa retain walioko kwenye sekta hiyo kwamba ni kazi ambayo inaweza kukupa Utajiri.

Serikali imekuwa ikitoa ruzuku kwenye pembejeo,inajenga mabwawa na skimu za umwagiliaji,imeshusha riba za mikopo kwenda sekta za Kilimo,mifugo na Uvuvi na inatafuta masoko ikiwemo kununua mazao ya wakulima.

Matokeo ya Juhudi hizi za serikali ni kuongezeka sana Kwa Kasi ya Mabenki kutoa mikopo kuelekea sekta ya Kilimo ambapo Kwa miaka 2 mfululizo,sekta ya Kilimo imeongoza Kwa kuvutia mikopo na uwekezaji.


View: https://twitter.com/UchumiForum/status/1724355311723593806?t=svJO-RmsB8TAaNRSLnByhA&s=19

Ushauri.

Tunaomba Serikali izidi kujali sekta hii hasa Kwa kupunguza zaidi vikwazo pindi masoko ya Nje yakipayikana.Aisha izidi kututafutia masoko ya mazao Nje na ndani ya Nchi maana uhakika wa soko ndio incentive kubwa Kwa Kilimo.

Hongera sana Rais Samia Kwa utashi wa Kisiasa na hongera Waziri Bashe.Kazi iendelee.


View: https://youtu.be/S943r56KL8E?si=jgYGMsnT-7JNTmDQ
 

View: https://www.instagram.com/p/CznnZpftySS/?igshid=eG1oZW1qMzFmcHdi

2088372129.jpg
-1189837679.jpg
 
Najaribu kutafakari kimyakimya kabla sijaandika chochote maana hata nikiandika wewe ni chawa inaweza kuniweka matatani kwa sababu unaonekana kabisa sio akili zako bali umetumwa
 
Najaribu kutafakari kimyakimya kabla sijaandika chochote maana hata nikiandika wewe ni chawa inaweza kuniweka matatani kwa sababu unaonekana kabisa sio akili zako bali umetumwa
Toa ujinga wako hapa
 
Toa ujinga wako hapa
Ukiwa chawa unatakiwa ujitambue, jikite kwenye blabla za siasa huku unagusa maisha ya watu wasiopungua 60% ya watanzania.

Unaweza kutoa vielelezo vya mikopo inayotolewa kwa Hilo kundi?
Punguzo la Riba lililotokea kwa kipindi unachozungumzia?

Tuanze na hayo mawili ili nijue umetumwa au unajitutumua wakuone!
 
Ukiwa chawa unatakiwa ujitambue, jikite kwenye blabla za siasa huku unagusa maisha ya watu wasiopungua 60% ya watanzania.

Unaweza kutoa vielelezo vya mikopo inayotolewa kwa Hilo kundi?
Punguzo la Riba lililotokea kwa kipindi unachozungumzia?

Tuanze na hayo mawili ili nijue umetumwa au unajitutumua wakuone!
We mpumbavu nini,nikupe wewe kielelezo kama nani?

Hao BoT waliotoa hizo taarifa ni manyumbu kama wewe au?
 
We mpumbavu nini,nikupe wewe kielelezo kama nani?

Hao BoT waliotoa hizo taarifa ni manyumbu kama wewe au?
Sasa mpumbavu nani kati ya Mimi na wewe kama kijijini kwenu wakulima hawajawahi kupata mkopo wowote wa kilimo Kisha wewe ukaja hapa na taarifa ambayo umeshindwa kuichambua.

Mkuu jaribu kuficha ujinga japo kwa kuvipita vitu usivyovielewa, hata kama wewe ni chawa, jaribu kufanya uchawa kwenye mambo yasiyowahusu wakulima unagusa mioyo, damu, jasho na nguvu za wanyonge.
 
Sasa mpumbavu nani kati ya Mimi na wewe kama kijijini kwenu wakulima hawajawahi kupata mkopo wowote wa kilimo Kisha wewe ukaja hapa na taarifa ambayo umeshindwa kuichambua.

Mkuu jaribu kuficha ujinga japo kwa kuvipita vitu usivyovielewa, hata kama wewe ni chawa, jaribu kufanya uchawa kwenye mambo yasiyowahusu wakulima unagusa mioyo, damu, jasho na nguvu za wanyonge.
Huo ndio upumbavu uliokujaa,basi unadhani wakulima wapo Kijijini kwako tuu na pengine unadhani wakulima ni wanakijiji tuu 😁😁

Mtakuwa najaza maji kwenye net
 
Huo ndio upumbavu uliokujaa,basi unadhani wakulima wapo Kijijini kwako tuu na pengine unadhani wakulima ni wanakijiji tuu 😁😁

Mtakuwa najaza maji kwenye net
Mkuu Mjini mnalima kwenye lami?

Acha masihara
 
Back
Top Bottom