Ni Shirika la CCMSUKITA lilikua shirika la kukuza Uchumi na Kilimo nchini. Kutokana na ukosefu wa Ajira ni wakati sasa
CCM hawana jeuri hiyo kwa sasa! Wakati ule, karibia kila kitu walikuwa wanapata bure! Leo hii, hata duka la mtaji wa 5,000,000/= inaweza kuwa ni issue ngumu!Ni Shirika la CCM
Naunga mkono
Uzi huu umenikumbusha mema ya CCM!CCM hawana jeuri hiyo kwa sasa! Wakati ule, karibia kila kitu walikuwa wanapata bure! Leo hii, hata duka la mtaji wa 5,000,000/= inaweza kuwa ni issue ngumu!
Watoto wa millenia wana tabu sana. Ukute hapo anajua SUKITA lilikuwa la Serikali.Ni Shirika la CCM
Naunga mkono
Mwaka 1991 tulichangia mabasi ya wanafunzi. Binafsi nilichangia 20/-. Ule Mradi waliufaidi wajanja/komredisUzi huu umenikumbusha mema ya CCM!
Ule mradi UVCCM waliufisadi!Mwaka 1991 tulichangia mabasi ya wanafunzi. Binafsi nilichangia 20/-. Ule Mradi waliufaidi wajanja/komredis
Daah. Watu wameifaidi hii nchi. Fikiria pia walivyotaka kugawana TTCL. bado Dege Eco villageUle mradi UVCCM waliufisadi!
Masaburi RIPMwaka 1991 tulichangia mabasi ya wanafunzi. Binafsi nilichangia 20/-. Ule Mradi waliufaidi wajanja/komredis
Mwaka 1991 tulichangia mabasi ya wanafunzi. Binafsi nilichangia 20/-. Ule Mradi waliufaidi wajanja/komredis
SUKITA ilikuwa inauza bidhaa adimu kama baiskeli za swala na phoenixTena lilikua na kipindi maalum RTD
Ni Shirika la CCM
Naunga mkono
Haya mambo yanaenda kwa ujanja ujanja, shirika linasemekana limekufa lakini jengo lake limekarabatiwa mwaka Jana na limepangishwa sasa sijui nani kasaini mikataba ya pango na marekebisho ya jengo.Kwa nini lilikufa?