Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,898
- 942
MBUNGE EDWARD LEKAITA AWATAKIA WAKULIMA MSIMU MWEMA WA KILIMO KATA YA KALOLENI JIMBONI KITETO
Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mkoa wa Manyara, Mhe. Edward Ole Lekaita ametembelea na kushiriki shughuli za kilimo na upandaji mbegu katika shamba la Mzee Salum Kabila na kuwatakia heri wakulima na wafugaji.
Mhe. Edward Ole Lekaita amesema Mvua zinanyesha ni fursa. Amewataka wananchi kuheshimu matumizi bora ya Ardhi ili kuondokana na migogoro isiyokuwa na lazima na badala yake watumie vyombo vya sheria katika kutatua changamoto.
Aidha, Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita amefika Kata ya Makame kwenye maeneo ya malisho kuona hali ya Mifugo na chakula cha Mifugo na Maji.
Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mkoa wa Manyara, Mhe. Edward Ole Lekaita ametembelea na kushiriki shughuli za kilimo na upandaji mbegu katika shamba la Mzee Salum Kabila na kuwatakia heri wakulima na wafugaji.
Mhe. Edward Ole Lekaita amesema Mvua zinanyesha ni fursa. Amewataka wananchi kuheshimu matumizi bora ya Ardhi ili kuondokana na migogoro isiyokuwa na lazima na badala yake watumie vyombo vya sheria katika kutatua changamoto.
Aidha, Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita amefika Kata ya Makame kwenye maeneo ya malisho kuona hali ya Mifugo na chakula cha Mifugo na Maji.
Attachments
-
WhatsApp Image 2023-11-24 at 16.23.39.jpeg166.8 KB · Views: 6
-
WhatsApp Image 2023-11-24 at 16.24.27.jpeg996.3 KB · Views: 7
-
WhatsApp Image 2023-11-24 at 16.25.23.jpeg146.7 KB · Views: 5
-
WhatsApp Image 2023-11-24 at 19.53.24.jpeg1.4 MB · Views: 4
-
WhatsApp Image 2023-11-24 at 19.53.29.jpeg898.5 KB · Views: 4