Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wakuu.... Natamani nianze rasmi kilimo hiki, naomba ushauri kuhusu masoko na bei zake huwa zikoje huko masokoni..... Niko Morogoro mjini. Karibuni.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Sasa ni muda muafaka kwa vijana kuingia kwenye kilimo. Najua vijijini gharama za kilimo huwa chini, unaweza kubahatisha mashamba yenye rutuba na yanakodishwa kwa bei nafuu. Na pia katika...
15 Reactions
104 Replies
10K Views
Kama kichwa kinavyosema mwaka huu nataka kuanza kufuga ng'ombe wa maziwa je wataalamu naomba msaaada wa changamoto na wenye uzoefu na kila kitu kinachohusu ufugaji huuu asante
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwa mwenye kujuwa huu ugonjwa, tafadhali anisaidie niwape dawa gani wanazunguka zunguka kwa kukunja shingo mwisho wanakufa.
0 Reactions
42 Replies
18K Views
Habari zenu wapendwa, Baada ya kushawishika na upandaji mbogamboga katik mazingira ya nyumbani, nimejaribu mboga kadha wa kadha nimeweza ila hohoho zinanishinda kuanzia kitalu,nimefanya attempts...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari, Wakulima na wauza mazao, nahitaji mkulima au muuzaji nafaka mwenye stock ya kutosha zao la dengu tuwasiliane mara moja. Asante sana.
0 Reactions
2 Replies
598 Views
Nawasalimu kwa jina la aliye juu wakulima wenzangu. Nasimama hapa kutangaza rasmi kwamba 2023 nitafia shambani. Nimejiridha pasipo na shaka kwamba mali utaipata shambani. Kwa hiyo 2022...
100 Reactions
164 Replies
19K Views
1. Kutahitajika kiasi gani kwa ajili ya kupanda eka 20? 2. Inapatikana wapi mkoani Mwanza au mikoa ya jirani? πŸ™πŸ™πŸ™
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Mbegu za zao la azolla zinapatikana wapi kwa Dar
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wazee naomba mtu yoyote anaejua au anandugu ambae anavyenzo vya uvuvi naomba anipe fursa hiyo nipo dar ...
0 Reactions
10 Replies
767 Views
Hello members Aisee kuna fursa pia ufugaji wa wanyama pori ila fursa hii ni mahsusi kwa wenye mitaji mikubwa (ujenzi wa miundombinu) Mathalani kufuga viboko : kiboko wakati wa kumchinja kama...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Nimeanza ufugaji wakuku wa kienyeji, nimeanza na kuku jike 3, jogoo 1 ila saizi ni mwezi wa pili sioni Jogoo hata akikimbiza kuku wa kike nifanyaje?
5 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari wakuu Nimefungua duka la kuuza mayai ya kisasa, nimegundua mayai yanahitajika sana maana mzigo unatoka mno, ila tatizo upatikanaji umekua changamoto, Tanzania tuna wafugaji wachache sana...
9 Reactions
21 Replies
4K Views
Wapendwa habarini tuna stock ya tan 35 ya dagaa wachafu kwa ajili ya chakula cha mifugo .so natafuta soko lake Asanteni
0 Reactions
7 Replies
929 Views
Ni tunda zuri sana kwa upande wa bei. Linauzwa ghali. Japo yanapatikana kwenye masupermarket makubwa, hayalimwi Tanzania. Yanaagizwa toka nchi za nje. Wakenya wameshaanza kulima kiwi. Miongoni...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mbegu hii ya seedco ya Mahindi inayo komaa kwa muda mrefu, Naomba kujua Bei yake kwa wakulima wanayo jua
2 Reactions
5 Replies
6K Views
Kuna paka ananitia hasara ya kula kuku na bata, kila nikimvizia kwa lengo la kumuua nashindwa. Je nitumie sumu au mtego gani ili afe?
3 Reactions
55 Replies
4K Views
Kilimo cha miti ya Christmas hapa bongo kinaweza kulipa?
5 Reactions
8 Replies
642 Views
Habari wanajamvi Anayejua wapi yanalimwa matunda ya kiwi kwa hapa Tanzania nayahitaji sana. Ahsanteni
1 Reactions
25 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…