Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,611
- 3,342
Habari zenu wapendwa,
Baada ya kushawishika na upandaji mbogamboga katik mazingira ya nyumbani, nimejaribu mboga kadha wa kadha nimeweza ila hohoho zinanishinda kuanzia kitalu,nimefanya attempts baada ya shauri kadha wa kadha ila nimeshindwa fanikisha.
1st time:
Niliambiwa kwa kitalu nitumie mbolea ya samadi na kitalu kisiwe mahala penye jua na nihakikishe unyevu full time.
Nilitumia kinyesi cha ng’ombe niliponda nikachekecha nikaiweka ivunde kwa kuimwagia maji then nikafanya kitalu.
Ila sikifanikisha.
2nd time:
Nikaambiwa ni vyema kuziloweka 24hrs then nifatehizo hatua za namba 1.
I did it ila nikafeli tena.
3rd time:
Nikabadili udongo.
4th time:
Nikabadili aina ya mbegu nikaenda kwa wauzaji tofauti na mbegu aina nyingi ni zile hoho za njano.
Je nini cha kufanya ili niweze kufikia lengo?
Nawasilisha.
Baada ya kushawishika na upandaji mbogamboga katik mazingira ya nyumbani, nimejaribu mboga kadha wa kadha nimeweza ila hohoho zinanishinda kuanzia kitalu,nimefanya attempts baada ya shauri kadha wa kadha ila nimeshindwa fanikisha.
1st time:
Niliambiwa kwa kitalu nitumie mbolea ya samadi na kitalu kisiwe mahala penye jua na nihakikishe unyevu full time.
Nilitumia kinyesi cha ng’ombe niliponda nikachekecha nikaiweka ivunde kwa kuimwagia maji then nikafanya kitalu.
Ila sikifanikisha.
2nd time:
Nikaambiwa ni vyema kuziloweka 24hrs then nifatehizo hatua za namba 1.
I did it ila nikafeli tena.
3rd time:
Nikabadili udongo.
4th time:
Nikabadili aina ya mbegu nikaenda kwa wauzaji tofauti na mbegu aina nyingi ni zile hoho za njano.
Je nini cha kufanya ili niweze kufikia lengo?
Nawasilisha.