jjapht2121
New Member
- Nov 13, 2023
- 1
- 1
Mbegu za zao la azolla zinapatikana wapi kwa Dar
Tunaomba number ya kibaha tafadhali hapo jirani nikanunuweKuna mwingine yuko Kibaha huko naye anauza
Kwa manufaa ya wasiofahamu Mimi nikiwemo, naomba uelezee hiyo AZOLLA ni kitu gani? Huenda na "sisi" tukahitaji.Mbegu za zao la azolla zinapatikana wapi kwa Dar
Hajarudi?Kunamtu anauza kigamboni lakini leo kafiwa na Baba yake mzazi nitakupatia number yake ndugu
Ndugu weka mawasiliano na sehemu ulipoko.Kwa wale wanaohitaji mbegu za azolla ,ninazo nyingi sana wanitafute,nauza kwa kilo
keystone kuku farm - walikuwa wanauza nafikiri mwaka jana; ndoo shs 20,000. jaribu kuwacheki; 0715064992 au 0754062992Mbegu za zao la azolla zinapatikana wapi kwa Dar
Mbegu za azola ni mbegu Gani wazeeMkuu mimi nauza ndoo kwa shilingi 10,000, nakuagizia popote
Azolla ambao ni mmea aina ya magugu maji, umeanza kupata umaarufu duniani kutokana na uzalishaji wake wa kasi, ukitumia eneo dogo, halikadhali kwa kuwa ni lishe bora kwa mifugo kama vile ng’ombe na kuku.Mbegu za azola ni mbegu Gani wazee
Niitafute Kwa 0747464239Tunaomba number ya kibaha tafadhali hapo jirani nikanunuwe
Ni mmea kama gugumaji unaoteshwa kwenye maji mixer na udongoKwa manufaa ya wasiofahamu Mimi nikiwemo, naomba uelezee hiyo AZOLLA ni kitu gani? Huenda na "sisi" tukahitaji.