Hello wana JF ambao mpo huko nje bei ya sangara wenye label ya Eco kwenye supermakert za huko mnanunua shilingi ngapi? Bidhaa ya namna hiyo yenye nembo ninayozungumzia inatoka Tanzania tu hakuna...
Wadau ninauza set ya vifaa vya mazoezi vya body building ambavyo ni locally made ila ni vya chuma,,vifaa hivyo ni BARBELL yenye plate 6 (each plate ina uzito wa kilo 1O),DUMBELLS-set moja za kilo...
A Canadian company from Toronto is looking for :
Cloves, Cardamon and Black Pepper from Zanzibar and from Mainland.
If you have contacts for these products, please, let them know.
Their email...
Habari wanajamvi,nina mpango wa kusajili kampuni ya money transfer itayodili na mpesa na mitandao mingine,shida yangu ni kwamba sina mtaji wa kuanzia,je,nikienda benki naweza kupata bila shida kwa...
Wadau nimeanzisha kampuni yangu mpya inashughulika na consolidation and deconsolidation(import and export), parcaging, warehousing, door to door delivery na other logistics zinazo husiana na...
I hope all is well wanajamvi!
Ninajishughulisha na masuala ya ujenzi (construction), mimi na wenzangu (baadhi ya kampuni za construction za wazawa) tuna mpango wa kuunganisha nguvu na kuanzisha...
Hi
Due to the challenges facing our Nation, we as Engineers have decided to give what we learn in school back to our fellow Tanzanians by providing them with fast and reliable services in...
Wana bodi habari,
Mkuu Mlachake alianzisha uzi siku chache huko nyuma na kuwataja baadhi yetu kuwa tuunganishe nguvu ili tutoke na kitu. Wazo lako halikuokotwa na kunguru bali tulilichukua na...
habari wanaJF,
kwa siku nyingi sasa,nimekuwa nikiwaza kuhusu export business,hasa kwa kutumia usafiri wa ndege,,target countries zangu zikiwa Scandinavian countries,ujerumani,uingereza na...
Hi guys. Naombeni ushauri kuhusu tractors. Tractor aina gani linafaa kulima in most areas in Tanzania? Wapi ninaweza kununu used one? Bei ziko vipi? Naweza kuagiza toka europe/wapi? Asanteni sana.
Kwa Dunia Ya Sasa,kila Tasnia Inahitaji Elimu Ili Uweze Kwenda Katika Mstari Wa Mafanikio...Ni Nadra Sana Au Huwezi Kufanikiwa/Kuyataka Mafanikio Wakati Hujafanya Juhudi Za Kutafuta Elimu...
Wadau,
Nimeona watu wengi katika hii subforum ya Ujasiriamali wanaulizia namna ya kupata mikopo ya kuendesha biashara zao (hasa isiyohitaji kuweka dhamana).
Baada ya kuona wengi hawapati majibu...
Serious case............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama kuna mtu anafanya kazi ktk makampuni ya uchimbaji wa MADINI au anayafahamu yalipo hayo
makampuni,,tuwasiliane kuna plot yenye madini so...
Wakuu, naomba kufahamishwa kama leo jumapili tarehe 11/11 naweza kupata huduma ya kupata bima ya kagari kangu, ninasafahari ya mkoni traffic wasije nisumbu, any one call me 0782 107 560
Salaam Mwanajamii,
Kati ya Vitu vinavyowapa shida wajasiliamali wengi wa hapa nchini ni ukosefu wa mtaji wa kutosha, na hivyo kuamua kutafuta mikopo kutoka taasisi za fedha.
Katika utafiti wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.