wana jf naomba kujua mahali ninaweza kupata mkopo wa kilimo, nina hekari 50 zina hati ya miaka 30 na ziko eneo la wilaya ya kasulu mkoa wa kigoma,je ninaweza kupata mkopo wa kilimo? vikiwamo...
Habari jamvi la JF,Leo ninapenda kuwaletea habari njema juu ya project ya Maji Block.Maji BLOCK ni mpango wa kitanzania wa kukuza matumizi ya kuvuna maji ya mvua na kuhifadhi katika matanki ya...
Kwa Wale Wanaojaribu kutumia Bidhaa Za Nje Kama Mimi, Watakubali Hili
Chukua COCACOLA YETU NA ILE Ya MALAWI
Au Tumia CHUMVI YETU na Ile Ya KENYA
Ukiona Haitoshi
Tafuta Dawa Ya Mswaki Ya...
NJIA ZA KUWAANDAA WATOTO WAKO KUJA KUWA WAJASIRIMALI,
Wana janvi ni ukweli usiopingika kwamba, SUCCESSIFUL ISGENERTIC, na Njia za kuanza Ujasirimali mara nyingi huanzia mbali sana,
Na kwa sisi...
Amani iwe nanyi wapendwa,kume kuwa na kasumba ya wafanyabiashara wengi kuhusisha biashara zao na imani za kichawi ikiaminika watapata wateja wengi au kuzuia biashara zao zisipigwe ndumba.Binafsi...
unaitajika mtaji kuanzai m5 na kuendelea kwaajili ya kufany kazi ya kujenga ma calvat chini ya kampuni ya nicode enterprises company LTD,kutakuwa na cotract kati yako na company,term ni...
Hi Bandugu,
kutokana na hali ilivyo ya ajira kutoeleweka najaribu kufikiria cha kufanya kujikimu kimaisha sipati jibu, eti kwa mfano una shilingi milioni moja hapo unaweza anzia biashara gani?
Kampuni ya Juwawa Tanzania Company inayojihusisha na shughuli za kilimo na ufugaji inatafuta wataalamu wa ubunifu wa kutengeneza logo itakayokuwa inatumiwa katika shughuli mbalimbali.
NAFASI iko...
Wanajamvi nataka nianzishe kampuni ya kusaidia wanasiasa (politics lab)..kazi yake itakua ni kutrain,kupromote vipaji vya wanasiasa ambao wanaonekana wana uwezo tofauti na ilivyo sasa wapo...
Heri ya mwaka mpya!
Kwa anayefahamu, ni kiasi cha pesa kinahitajika kulibadilisha land rover defender or toyota hardtop la kawaida kuwa la kitalii (kuweka viti na kufunguka juu)?
Habari wana JF,
Mimi ni graduate,kutokana na tatizo la ajira Tz nimeamua kuanzisha micro-finance company kwaajili ya kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo amboyo tayari nimeshairegister na...
Naomba mwenye uelewa juu ya hii biashara nina mtaji wa kutosha na wilaya ninayokaa hamna huduma hii ya internate cafe so ningependa kuifanya
Naomba mwenye uelewa nayo anielekeze jinsi ya...
Kwanza naomba niwashukuru sana wana JF kwa kutoa mawazo yanayojenga pindi mtu anapokuwa anahitaji msaada huo,binafsi naomba kufahamu juu ghali ya soko la alizeti ndani ya nchi,ni kipi chenye soko...
Bata mzinga kwa wajasiriamali nawashauri kufuga bata mzinga na bata bukini kwa wingi kwani wanamnufaisha sana mjasiriamali ikiwa ni nyama mayai ulinzi wa nyumbani na pia nipambo zuri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.