Wakuu nipo Mbeya mjini,kuna mtu wangu wa karibu anahitaji kuuza vocha za simu kwa bei ya jumla ila anashindwa kujua wapi atazipata.Amekwenda ofisi za Voda,Airtel na Tigo hapa Mbeya mjini lakini...
Habari wanabodi. Nimekuwa na wazo la kufungua kampuni ya ICT & Electrical Co., kwa muda mrefu sana. Leo nimeona nilileta kwenu ili tuweze kushauriana... Ninahitaji partners wawili (2), kwa ajili...
HABARI WADAU; kama kuna yeyote anayejua/ anamjua au ana ujuzi wa kupata till number ya Tigo pesa (uwakala wa tigo pesa), naomba tuwasiliane. nilifika...
Jamani kwa Wakaazi wa DAR Nimeona Tangazo Linaloelezea Kuwa Na Semina yenye Kutoa Elimu Kwa Yeyote(muajiriwa,hasiyeajiriwa, mstaafu n.k) Kuhusu Namna Ya Kuweza Kujipatia Kipato Endelevu ,
Mda...
Jamani eeh
hebu nifahamisheni hii biashara inakuwaje maana nimepewa offer 2 leo
Moja ya mzigo unaotoka moja kwa moja from Lubumbasi
Ya pili ni iliopo hapo Dar
jamaa wanataka niwatftie wateja...
Habari zenu. Mimi katika masomo yangu ya biashara nayosoma nimegundua kwamba wanadamu wanakuwa maskini kutokana na sababu mbalimbali mfano: jinsi ulivyolelewa, jinsi unavyoamini, mazingira...
Wana jamvi heshima kwenu! baada ya kupata maelezo mengi hapa jamvini sasa nimeamua rasmi naanza kufuga kuku wa mayai. Kama kawaida kabla sijaanza ningependa kuwatembelea wafugaji,wataalam, na...
Natafuta wapi naweza kununua cement ya kuuza kwa bei ya jumla kwa kuanzia nataka nianze na mifuko kama 100.
Niko maeneo ya upande wa pugu dsm.
Naombeni msaada wa wapi nitapata, kwa bei gani na...
Wadau naomba kuuliza kuhusu hii biashara changamoto zake ni kuhusu kupeleka wageni porini na milimani na ni gari gani linafaa zaidi kati ya landcruiser na landrovers na mtaji wa kuanzia nataka...
Wadau Heshima Mbele.....
Nina shida ya Line ya TIgo Pesa, nimeenda ofisini kwao wanadai hawatoi tena, najua kuna watu wenye nazo na hawafanyii kazi, naomba tuwasiliana kama unaweza kunisaidia...
Sisi ni wafanya biashara ya mazao, tunanunua mazao kwa wakulima kule ulanga,tunalipa ushuru wa mazao wa tsh 2500/= kwa gunia hii ni kwa wilaya ya Ulanga. Tuikifika hapa ifakara, baada ya kukoboa...
Wakubwa Zangu Shikamooni, Wadogo zangu Marahaba, Nahitaji Msaada kidogo wa kibiashara, Nataka kufungua Stationery, Je ni Kiasi yaan minimum Ambayo nayoweza nikaanza nayo kufungulia Biashara...
Wajasiriamali,waandishi MIRADI YA BIASHARA / TAFITI wanakaribisha wanajamii forum.
Ni kikundi kilichojiajiri kwa kuandika miradi na tafiti kwa Vikundi, Binafsi, Makampuni na Mashirika ya Umma au...
wandugu hivi bajaji huwa inalipa sh ngapi kwa siku, dereva nae analipwaje?
toyo je , inalipa sh ngapi na dereva nae analipwaje?
bodaboda je?
sio mbaya kwa wenye uzoefu mkituambia huwa zinanunuliwa...
Heshima wakuu
Naomba mwenye uelewa kuhusu masuala ya ujasiriamali mana nasikia kila siku vijana tuwe wajasiriamali lakini sijapata elimu kuhusu ujasiriamali kwahiyo mwenye uelewa hata kwa maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.