Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakuu nipo Mbeya mjini,kuna mtu wangu wa karibu anahitaji kuuza vocha za simu kwa bei ya jumla ila anashindwa kujua wapi atazipata.Amekwenda ofisi za Voda,Airtel na Tigo hapa Mbeya mjini lakini...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari wanabodi. Nimekuwa na wazo la kufungua kampuni ya ICT & Electrical Co., kwa muda mrefu sana. Leo nimeona nilileta kwenu ili tuweze kushauriana... Ninahitaji partners wawili (2), kwa ajili...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
HABARI WADAU; kama kuna yeyote anayejua/ anamjua au ana ujuzi wa kupata till number ya Tigo pesa (uwakala wa tigo pesa), naomba tuwasiliane. nilifika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani kwa Wakaazi wa DAR Nimeona Tangazo Linaloelezea Kuwa Na Semina yenye Kutoa Elimu Kwa Yeyote(muajiriwa,hasiyeajiriwa, mstaafu n.k) Kuhusu Namna Ya Kuweza Kujipatia Kipato Endelevu , Mda...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jamani eeh hebu nifahamisheni hii biashara inakuwaje maana nimepewa offer 2 leo Moja ya mzigo unaotoka moja kwa moja from Lubumbasi Ya pili ni iliopo hapo Dar jamaa wanataka niwatftie wateja...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu. Mimi katika masomo yangu ya biashara nayosoma nimegundua kwamba wanadamu wanakuwa maskini kutokana na sababu mbalimbali mfano: jinsi ulivyolelewa, jinsi unavyoamini, mazingira...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Samahani kwa kuwapotezea muda ndugu zangu ila nlikua naulizia gharama za uchimbaji visima ikoje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
How to Choose Fertilized Chicken Eggs Learn how to determine the sex of a potential chick before your are committed to hatching your chickens...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jamvi heshima kwenu! baada ya kupata maelezo mengi hapa jamvini sasa nimeamua rasmi naanza kufuga kuku wa mayai. Kama kawaida kabla sijaanza ningependa kuwatembelea wafugaji,wataalam, na...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Natafuta wapi naweza kununua cement ya kuuza kwa bei ya jumla kwa kuanzia nataka nianze na mifuko kama 100. Niko maeneo ya upande wa pugu dsm. Naombeni msaada wa wapi nitapata, kwa bei gani na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau naomba kuuliza kuhusu hii biashara changamoto zake ni kuhusu kupeleka wageni porini na milimani na ni gari gani linafaa zaidi kati ya landcruiser na landrovers na mtaji wa kuanzia nataka...
2 Reactions
11 Replies
10K Views
heshima kwenu wakuu,nataka kulima vitunguu swaumu naomba mwenye utaalam anijuze pamoja na soko lake
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salama wadau. Mimi ni mjasiriamali na sasa nataka kufungua kampuni ya clearing and forwarding. Naomba anaejuwa procedures anijuze.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau Heshima Mbele..... Nina shida ya Line ya TIgo Pesa, nimeenda ofisini kwao wanadai hawatoi tena, najua kuna watu wenye nazo na hawafanyii kazi, naomba tuwasiliana kama unaweza kunisaidia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sisi ni wafanya biashara ya mazao, tunanunua mazao kwa wakulima kule ulanga,tunalipa ushuru wa mazao wa tsh 2500/= kwa gunia hii ni kwa wilaya ya Ulanga. Tuikifika hapa ifakara, baada ya kukoboa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanabidii!Kuna vitu viwili muhimu kutengenezea sabuni za unga: 1.CDE 2.OPTICAL -BY-TINA Vinapatikanaje?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakubwa Zangu Shikamooni, Wadogo zangu Marahaba, Nahitaji Msaada kidogo wa kibiashara, Nataka kufungua Stationery, Je ni Kiasi yaan minimum Ambayo nayoweza nikaanza nayo kufungulia Biashara...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wajasiriamali,waandishi MIRADI YA BIASHARA / TAFITI wanakaribisha wanajamii forum. Ni kikundi kilichojiajiri kwa kuandika miradi na tafiti kwa Vikundi, Binafsi, Makampuni na Mashirika ya Umma au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wandugu hivi bajaji huwa inalipa sh ngapi kwa siku, dereva nae analipwaje? toyo je , inalipa sh ngapi na dereva nae analipwaje? bodaboda je? sio mbaya kwa wenye uzoefu mkituambia huwa zinanunuliwa...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Heshima wakuu Naomba mwenye uelewa kuhusu masuala ya ujasiriamali mana nasikia kila siku vijana tuwe wajasiriamali lakini sijapata elimu kuhusu ujasiriamali kwahiyo mwenye uelewa hata kwa maana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom