wadua natanguliza shukurani, kwa wale wenye weledi katika mambo ya kilimo cha mananasi. nahitaji kujua gharama ya kupanda mananasi kwa heka moja ni kiasi gani.
kwa maeneo ya Bagamoyo. hii...
wakuu heshima ziwafikie popote mlipo, nahitaji msaada tajwa hapo juu....wapi naweza pata studio lights kit nzuri? nielekezeni mkuu hata kama mnayo pia mnaweza nipatia taarifa
iwe na miamvuli...
Wana JF, mimi ni mwanakijiji wa Kivinja B. Nina viwinja vya makazi na kuna jirani zangu wengine wana ardhi inayofaa kwa kilimo na hata kuwekeza kufaa mifugo shule na mipango mingine kutegemea na...
Wakuu niko Mbeya mjini naomba mtu yeyote anayefahamu sehemu naweza kupata shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo cha mazao ya msimu hapa mbeya na wilaya zake kwa sasa anisaidie.
salaam sana wakuu.
niko moshi machame nataka nijue kama kwa hali ya hewa ya huku hayo mazao ya pareto kama yatastawi na soko lake likoje na je kama hilo zao lina athari zozote kwa aridhi.
Wakuu ni kweli kabisa kwamba swala la capital limekuwa gumu sana hasa kwa new starter, na benki nyingi haziko tiyali ikuwakoposha fresh business man, wanapenda ambao wameisha anza na kikwazo...
Habar wanajamii,
Kama kilivyo kichwa cha habar, mimi ni mjasiria mali mchanga, nilikua na kiasi kidogo cha pesa nikaamua kuanzisha biashara ya kuuza chakula ila nimemkabidhi msichana ambaye...
My wife has 20m cash and is looking for lucrative business idea, originally she had thought doing micro-finance business but she is afraid or risks involved.
Is there any one with business idea...
Kampuni ya Chinaworldbuz Company Limited (CWB) ni kampuni ya muungano wa vijana wa kitanzania na kichina waishio jijini Shanghai-China.Kampuni hii iliyoanzishwa february mwaka 2012 jijini Shanghai...
Nina biashara yangu ya duka la nafaka,unga na mafuta ya alizeti.(food stuff) hapa moro mjini.
Nauza mahindi,unga wa mahindi,(sembe & dona),mchele,maharage, korosho,karanga,ufuta, mafuta ya...
ndugu wanaJF na hasa wenye ufahamu wa masuala ya photography. kuna business idea inanijia kichwani kuhusu photography studio kama unavyoona PhotoPoint, Creative Image. nimejaribu kufuatilia kwa...
Wana jf ninaomba wenye uzoefu waniambie faida inapatikanaje kwa kila transaction na inachukua muda gani kuomba mpaka kupewa code au line ya uwakala na gharama zozote unazoingia ili kupata hiyo...
lets say i have a business idea that
1. have a maximum of 4 month payback period -you get all your investment back in 4 month.
2. more than 250% annual returns on average
3. can be done on part...
Watu tumezoea kudanganyana na kutokuelezana ukweli kuhusiana na biashara,
tumekuwa watu wa kupeana moyo na kushauriana kila mtu afanye iashara lakini
biashara au ujasiriamali sio kitu rahisi...
Kwa nini kumekuwa na hii tabia ya kila mfanyabiashara anajiita mjasiliamali? Labda tunashindwa kutofautisha haya maneno mawili ndiyo maana yamekuwa yakituchanganya na hasa walio wengi. Huwa...