Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

habari zenu wakuu, natafuta soko la dagaa wachafu ambao hutumika kutengenezea chakula cha mifugo especially kuku, wateja wakubwa ni wale wenye viwanda vya kutengeneza vyakula hivyo, tatizo sijui...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba msaada wa 1.gharama zote 2.process za kufuata ili uwe regstard 3.campany nzur ya kuhost hyo website 4.malipo yake kwa mwez au mwaka
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wandugu nauza maharage ya soya nina gunia 150 kila gunia nauza laki na thelathini tu pia nina magunia kama hamsini ya mbaazi kila moja nauza laki tatu ni gunia la kilo mia moja kwa anaehitaji...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Shkamooni; Jamani Ninauza Bata 30, Wakubwa Kwa Wadogo! Nikwaajili Yako, Kwa Bei Utakayo Imudu. Usipitwe Na Bahati Hii, Nitafute Mtwa Mkulu Kwa 0652967265. Kumbuka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Anayejua panapopatikana mashine za magic double slot ziwe za karata au gurudumu aniambie na bei zake
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tuna chumba nyumbani sinza mori, nianzishe biashara gani? Shud i invest it all on M-pesa na Tigo pesa au?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natatufuta mitetea ya kichotara yenye uwenzo wa kutaga na kutamia
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa anaefaham duka naloweza kupata sodium benzonate(preservative) anfahamishe
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mm ni muajiriwa katika shirika moja la umma kilichonifanya mpaka nijongee kwenye jukwaa hili ni mawazo yenu wadau napenda kufanya biashara kwani suala la kuajiriwa limekua gumu kwangu. si mara ya...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salam wakuu! Nahitaji mbegu ya ALIZET aina ya KENYA FEZA nackia inapatikana ARUSHA kwenye KAMPUNI 1 inaitwa KIBO alienambia hana uhakika na Jina la hiyo KAMPUNI ndo7bu nimekuja hapa kwenu kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza bata mzinga wakubwa kwa wadogo kwa bei nafuu sana karibu 0757 662401
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Salaam, nahitaji kufungua moja ya barber shop ya kisasa hapa Mwanza mjini. Ila sina ufahamu wa jinsi ya upatikanaji wa vifaa kwa ufunguzi huo, je naweza kupata msaada kwa yeyote yule ambaye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu; Naomba mnifahamishe ni wapi naweza kupata duka linalouza mahitaji ya upishi wa keki kwa hapa Tanzania...hususani Dar es salaam. Itakuwa vema pia kama tutabadilishana ujuzi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Tunatengeneza incubator za kutotolea mayai ya ndege wa aina zote.ni incubator zenye ubora wa hali ya juu.ni automatic zinageuza mayai zenyewe,zinacontral zenyewe kiwango cha joto na unyevu...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
frem nzuri ya biashara inapangishwa sh.laki moja kwa mwezi.! ipo tegeta ccm mita 50 kutoka barabara kuu iendayo bagamoyo kwa anayehitaji plz call 0717483440
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali kupitia kampuni yake ya mashamba ya miffugo, NARCO imealika wawekezaji toka nje na ndani ya nchi kuwekeza katika shamba la mifugo la Ruvu, mkoa wa Pwani. shamba hilo lina uwezo wa kufuga...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Can anyone help me with the procedure to bring mkaa frm kibaha , procedures of kibali ?? Procedure at the mizani?? Thank you
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Za leo wakuu. Najipanga ili Mwenyezimungu akipenda nijiingize ktk production ya mafuta ya alizeti. Naomba msaada Wa yeyote anayejua upatikanaji Wa mashine ya kusagia alizeti uko vipi.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwanza wana jf oyee kwan hakuna mtandao wowote wa kijamii dunian nauheshim kama JF, Nije kwenye point mimi natengeneza vitu tajwa hapo juu.Hata sasa nipo kanda ya ziwa nasambaza batik za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu. Pamoja na kuongelea mafanikio na mikakati yetu ya kujikomboa kimaisha kwa njia halali nimefikiri ni vyema pia tuhadisiane na kuelezeana kuwa ni biashara gani ulishawahi fanya na...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom