habari wana jf.
naomba kuuliza kwa wale wanaojuwa kuhusu biashara ya mayai ya kuku kwa bei ya jumla.
naomba kujuwa bei za kununua kwa jumla na bei za kuuza kwa jumla.
asanteni
-tunachimba visima virefu kwa kutumia machine maalum ya kisasa kwa uhakika na kwa bei nafuu.
-tunachimba na kukabidhi kisima ndani ya siku moja. tutakufuata popote ulipo [dar].
mobile no: 0712...
Taa ya hatari imeanza kuwaka kwa wafanyabiashara na wajasiriamali wa Tanzania
Asilimia kubwa ya wafanyabiashara, ( wakubwa na wadogo) wanafanya biashara
Kienyeji na kikubahatisha wanafanya...
Habari wadau,nina shamba maeneo ya Mapinga karibu na Bagamoyo lenye ukubwa wa ekari mbili,natarajia msimu huu wa kilimo kupanda mihogo,hivyo basi ninaomba mnisaidie ni mahali gani ninaweza kupata...
Ndugu wajasiria mali, nimebahatika kupata ekari 30 kwa ajili ya kilimo. Na eka tano kwa ajili ya ujenzi wa nyumba huko mashambani. Nategmea mwakani niachane na ajira nikafanye shughuli za ukulima...
Biashara pia inavitu ambavyo kila mtu anatakiwa avifuatilie ili uweze kuimanage, biashara nyingi zinafeli iwapo moja kati ya vitu hivyo vinapopungua au kukosekana hivyo basi kabla ya kuanzisha au...
Wana jf wenzangu,mimi ni mfugaji wa nyuki na mzalishaji mkubwa asali.ninahitaji maboksi ya karatasi ngumu kwa ajili ya kuweka chupa za asali.maboksi hayo yawe na uwezo wa kubeba dazani moja ya...
Habarini
nauza kuku wa kisasa Broiler
kwa jumla ni tshs 5000/- mpaka 4800/= kwa kuku 100
na ni kwa rejareja ni 7500/= kwa kuku umtakaye
kwa anayehitaji aniPM nami nitawasiliana naye niko dar
Jamani watanzania wenzangu,huu ni wakati wa kufanya kazi kwa akili zetu na nguvu zetu! Mimi leo nakuarika wewe ambaye unahitaji kundikiwa mradi na mchanganuo wake wote,ushauri jinsi ya kuendesha...
Natafuta Makoko yanayoanza kutaga kwa bei kati ya shiling 5,000/= na 6,000/=.
Yasipungue makoko 40.
Napatikana kabuku Tanga, kwa yeyote alie karibu ama aliye dar na mwenye mzigo huo wa kutosha...
Wakuu,
Habarini ya majukumu.
Napenda kuwakaribisha katika EDMARKTANZANIA 1ST CROWN RECOGNITION AND CAR AWARDING CEREMONNY kumpongeza mwenzetu RED JOEL aliyefanikiwa kupatazawadi ya...
wadau...nina mpango wa kufungua duka la kuuza nguo na vifaa vya watoto. sehemu ninayo ishi ni sehemu ya makazi ya watu wenye kipato cha kati na chini. pia kuna hostel ya vijana wa chuo hapo...
nina kuku kuchi wadogo wana miezi kama miwili ila ukuaji wao ni wa taratibu sana,kwa yeyote mwenye uzoefu nao naomba aniambie ndo kawaida yao kukua taratibu au hawa wangu wana matatizo?
Nanunua mafla za gari ndogo, kwa ambao hawazijui, mafla zinakaa kwenye bomba linalotoa moshi wa gari ziko kama kamtungi kadogo ndani zina ungaunga.nazinunua kati ya Tsh.30,000-50,000,kwa kila...
Wadau habari!nakuja jamvini hapa kuomba ushauri wenu. Nina wazo la kununua machine ndogo kwa ajili ya production,budget yangu ni kati ya 5m/= mpaka 8m/= kwa ajili ya ununuzi wa machine hiyo,ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.