Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari Wana jf Naombeni kujuzwa kuhusu upande Wa biaahara ya nguo Dodoma km nlvoeleza halo juu Ahsante.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watu tumezoea kudanganyana na kutokuelezana ukweli kuhusiana na biashara, tumekuwa watu wa kupeana moyo na kushauriana kila mtu afanye iashara lakini biashara au ujasiriamali sio kitu rahisi...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwa nini kumekuwa na hii tabia ya kila mfanyabiashara anajiita mjasiliamali? Labda tunashindwa kutofautisha haya maneno mawili ndiyo maana yamekuwa yakituchanganya na hasa walio wengi. Huwa...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Habarini, jamani najua kwenye jukwaa kuna watu wenye fani mbali mbali humu ndani. Mimi nina wazo la kufungua Duka la Dawa mkoani Singida. Nahitaji anaye fahamu utaratibu WA kufungua duka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nahitaji kuku chotara kwa ajili ya kufuga, anayefahamu tafadhali anipatie namba ya simu au anijulishe ni wapi pa kupata. Mimi nipo Dar.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu. Mnamo mwezi wa nne mwaka huu nilinunua mashine ya kutengeneza mkaa wa kisasa kwa kutumia matakataka makavu kwa sh. 850,000 kutoka katika shirika la wafaransa liitwalo ARTI Energy...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za masiku wana jf wapendwa wangu.Baada ya miangaiko mingi na majaribio ya miradi mbalimbali hatimaye nimebahatisha kamradi, kiasi fulani kana faida kamradi kenyewe ni cha kutoa huduma ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ebwana habarini wakuu, kutokana na ugumu wa ajira nimeamua nijaribu kufungua internet cafe hapa singida mjini, vp inaweza kunilipa hii biashara kwa nyie wazoefu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jukwaa hili ndilo lilinifanya mimi niifahamu JF. wadau wamekuwa wanaleta hoja/mawazo yanayoleta msukumo chanya wa maendeleo ya mtu binafsi kwa kutoa mawazo mbalimbali ya kumwezesha mtu kupiga...
0 Reactions
1 Replies
958 Views
Habarini za shughuli, Najua kuna watu mbali mbali humu ndani ambao tayari eidha wamewahi kufanya au kujaribu kufanya shughuli za ujasiriamali. Nahitaji mawazo yenu na ushauri wenu Nategemea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni ushauri jamani mbolea gani ni nzuri kwenye matango na viazi mviringo ili kupata mazao mengi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini za shughuli, Najua kuna watu mbali mbali humu ndani ambao tayari eidha wamewahi kufanya au kujaribu kufanya shughuli za ujasiriamali. Nahitaji mawazo yenu na ushauri wenu Nategemea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, Kuna ndugu yangu anataka kuanzisha Biashara ya kukopesha PESA kwa Riba anataka iwe OFFICIAL so anataka kujua namna yakuisajili kampuni yake. Pia kupata LESENI utaratibu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina jogoo wakubwa wa Malawi, weusi wanauzwa. kila mmoja ni sh. 15,000/= tu. Kwa anayehitaji tuwasiliane. Niko ILEJE, MBEYA- Tanzania.:A S 103:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Poleni na kazi za kila siku wana JF. Mimi nina jogoo wa Malawi (mkolongo) weusi wanauzwa. Ni wakubwa na wazuri kwa mbegu. Niko ILEJE, kwa atakaye hitaji basi tuwasiliane. Ni wazuri kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nataka kununua pikipiki ya tairi tatu je inalipa? Naombeni wenyekujua mnipe ushauri.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nataka kununua pikipiki ya tairi tatu je inalipa? Naombeni wenyekujua mnipe ushauri.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, nimepata idea ya kuwa na car wash,kama kuna mtu ana idea na hii biashara,ugumu na urahisi wake,challenges na mengineyo. Biashara nawaza kuifanya hapa hapa dar es salaam.mwenye mawazo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shughuli gani huweza kumfanya mtu kuwa tajiri Siku moja niliwahi kumuuliza tajiri mmoja anitajie jambo moja kuu analofikiria ndilo lililomfanya akawa tajiri na kuwa na mafanikio katika maisha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina mtaji tajwa hapo juu naeza anza biashara gan tofaut na ufugaji.plz naomba kujuzwa.asante
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom