Ndugu wana JF natamani kuingia rasm kwenye kilimo cha matunda na mboga mboga (Hotculture)
Ningependa kupata japo kwa ufupi tu, namna ya uendeshaji wa kilimo cha Green Beans,Green Peper na...
Wakuu, kuna dogo huko mkoani amegundua opportunity ya biashara ya usafirishaji kwa kutumia Bajaj. Amenipa specification mojawapo kuwa angependa Bajaj hiyo iwe ya aina ya TVS. Nadhani humu kuna...
Wadau wajasiriamali ninawasalimu!
Naomba kupewa ushauri wa ujasiriamali mdogo bisi.
Huwa napenda sana kula bisi, kila nikipita wanakokaanga lazima ninunue nijilieeee, sasa kwa mapenzi haya...
Its black in colour. Operated for almost two years...
Price is 2 milion shillings. Not negotiable.
Its black and in good condition.
Those interested please call 0714282821 or 0753260975.
Naomba msaada wadau;
Kujua ni benki ipi hapa kwetu tanzania inatoa mikopo kwa marejesho ya riba ya chini au nafuu kidogo?
Naamini ntakuwa nimeeleweka,kama sijaeleweka kwa wale walionielewa...
Wadau naomba kujuzwa tanki bora la kuwekekea maji kati ya
1. Sim tank lita 5000 hadi 10000
2. Kiboko tank
Na mengine mnayoyajua na bei zake naomba kujuzwa wadau
Habari Jamiiforums.
Mabibi na Mabwana,
Ombi langu kwenu ni hili.
Je Ninaweza kupanga mabanda ya Kufuga kuku Faida ikawepo?
Kuku ninaotarajia kuwafuga ni Kienyeji(Asili)
Mabanda kwa...
Heshima yenu manajamvi. Nimepata wazo la kufungua duka la kisasa la kuuza mboga mboga na matunda fresh mjini Tanga. Lakini changa moto nayoiona ni jinsi nitaka vyoweza kutunza hizo bidhaa bila...
mimi ni mjasiria mali , nimebahatika kila ninachofanya kinafanikiwa lakini siwezi kufanya kila kitu mwenyewe inabidi vyengine niwashirikishe watu , ninashamba kubwa hapo kiromo bagamoyo...
Wadau natafuta mtu anikoposhe kiboko water tank 10000 Lts nifanye biashara ya kuuza maji maana huku kwetu inalipa. Nitamlipa ndani ya miezi 10. Kama upo tayari tuwasiliane. 0718412041
Katika biashara lazima kuwe na mipango ambayo itaisaidia biashara yako kusonga mbele, kila biashara imara lazima iwe na mipango ili kuifanya na kuisaidia kusonga mbele kwa wakati husika na baadae...
Habari wakuu
Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea na majukumu yenu ya kawaida. Hongereni kwa hilo ! Mimi ni mjasiria mali nahitaji kupanda miti lakini kuna mambo yafuatayo yananitatiza;
1. Ni...
Wana JF,
naomba utaalam na uzoefu.
Kuna bwana mmoja anataka kuniuzia New Holland Tactor lenye 75hp na ni 4wheel. Alipewa zawadi na shirika alikokuwa anafanya kazi June 2012 na hajawahi kulitumia...
Mungu awabariki,
Wakuu naomba tupendekeze topic 4 ambazo unafikiri ndizo zilizokuwa bora kwa mwaka 2013 kisha tutazishindanisha tupate tatu bora. Hii itawamotivate wajasiriamali. Mwisho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.