Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Tutembelee ????? Kuona dawa zetu zaidi.
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Leo nataka kuongelea tatizo hili la nguvu za kiume mana saiv limekua tatzo kubwa sana na sio tatzo la kuchekana mana kwamfumo wetu wa vyakula tuliokua nao ni lazma weng wetu linaweza likakukuta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za jioni wadau natumaini mpo fine jaman naitaji kin'gamuzi cha azam TV kilichotumika wadau mwenye nacho naomba tuwasiliane kwa namba 255756417990
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari msomaji wa uzi huu, naamini u bukheri wa afya njema. Vijana wengi tumekuwa tukiwa na wazo zuri la biashara lakini swala kubwa au kikwazo ni mtaji, mwisho wake tunapoteza mwelekeo na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wadau. Ninaomba msaada wa mawazo kama nilivyojieleza hapo juu. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kiwanja Somangila baada ya Avic Town kuna kituo Mwembe mdogo njia ya Dsm Zoo. Sqm 488 bei m6. Hakuna Dalali. Piga 0717059472.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Najua tumekuwa na mijadala mingi ya Uchaguzi sasa nafikiri kubadili muelekeo kidogo... Naomba mtu mwenye uzoefu wa uendeshaji wa magari madogo kama kiriku na Hiace (daladala) anipatie uzoefu wake...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Goodevening ladies & gentlemen! Disclaimer: I admit that this thread is of ultimate importance and genuine to my best knowledge. Despite long-term efforts of starting an advertising agency...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wa wakuu, ni wapi hasa Dar if possible naweza kupata vanilla beans. asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wadau, jaman nina shida na umoja wa wafugaji dar UFUKUDA, nataka kwenda office kwao ,sijuhi wako maeneo gani, naona huu umoja kama umekufa nataka nikawaamshe, wafugaji tunakufa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mo info nicheki +254717609960 Picha za Gypsum celling design
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Poleni na majukumu ya ujenzi wa nchi ndugu wana-jf. Naomba msaada wa utaalamu wa kilimo cha milonge. Nasikia ni tiba ya mambo mengi sna. Natanguliza shukrani
0 Reactions
32 Replies
24K Views
Waungwana wakubwa KWA wadogo wake KWA waume itifaki imezingatiwa, naja kwenu ndugu zangu ninaomba msaada wenu wa mawazo na ushauri,ninahitaji kujua/kufahamu juu ya kilimo cha mlonge na soko LA...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari za muda huu wana Jf, Mimi nimfugaji wa nyuki nipo Tabora, Nina lita 600 za asali mbichi, naomba anaefaham soko lilipo anijuze maana mwakaa huu naona neema imenitembelea kwenye mizinga...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bei ya glass moja ni kati ya 2500 na 5000 inategemea na uwingi wa glas au vikombe unavyo hitaji na uwingi wa maneno unayo yahitaji... piga 0714 045 080....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni ushauri wa biashara ya kufanya ambayo haiitaji usimamizi wa karibu kwakua mi ni mfanyakazi ambaye nifanya kazi full time kasoro weekend tu. Naomba ushauri wa kufanya biashara dsm...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natanguliza shukrani ya dhati sana kwa walioanzisha thread ya UFUGAJI KUKU ilianza mwaka 2009-2010 wakati huo milikua bado nanuka maziwa sikujua kama kuna siku moja nitatakiwa kuwa na maisha...
3 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu wangu!!! Nimelima vitunguu na vipo tayari lakini soko lake, kuna mmoja alikuja akasema nimuuzie kwa 60000 gunia, na kiukweli nahic itanikata sana. Nimelima hekali moja huko...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa cha Habari hapo juu naomba kwa yeyoye anayejua namna bora yakuthibit panya wanaofukua mbegu na kuzila zikiwa bado chini ya arzi. Wamefukua mbegu zangu zote za tikiti. Natanguliza shukran
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…