Vivac
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 475
- 483
Habari zenu wakuu wangu!!!
Nimelima vitunguu na vipo tayari lakini soko lake, kuna mmoja alikuja akasema nimuuzie kwa 60000 gunia, na kiukweli nahic itanikata sana. Nimelima hekali moja huko iringa maeneo ya magubike.
Naomben mawazo yenu ndugu zangu ili nijikwamue kwenye janga hili la umaskini.
Nimelima vitunguu na vipo tayari lakini soko lake, kuna mmoja alikuja akasema nimuuzie kwa 60000 gunia, na kiukweli nahic itanikata sana. Nimelima hekali moja huko iringa maeneo ya magubike.
Naomben mawazo yenu ndugu zangu ili nijikwamue kwenye janga hili la umaskini.