Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Nina mkopo NMB, NIFANYEJE ILI NIHAMISHIE MKOPO CRDB ILI NISIWE NA DENI NMB. Lengo ni kupanua ujasiliamali. taratibu zipi zifuatwe kwa mtumishi wa umma?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari wadau wa JF.. Mimi ni mkulima wa kati wa mpunga (sio mkubwa sana wala mdogo sana). Kwa mwaka naingiza wastani wa gunia 1000 za mpunga. Huwa natenga kiasi kama gunia 10 kwa chakula cha...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Maziwa fresh yanauzwa kwa kiasi chochote unachotaka kuanzia lita 2 mpaka lita 200 kwa kila siku =>maziwa hayajachakachuliwa kwa kuwekwa maji au kitu chochote yapo kama yalivyokamuliwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta Mayai ya Bata maji kwa ajili ya kutotoresha. Mayai yasiwe na zaidi ya siku 5. Nipo Morogoro .ahsanteni
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nahitaji kujua ni kilimo gani kitafaa kwa uangalizi wa mbali au maudhulio ya shamba ambayo ni angalau mara moja baada ya wiki tatu au mbili. Kila nikijaribu kitu chchite naishia kuvutiwa na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Unaweza kuziita bag huvaa wafanyakazi wa hotel na sehem nyingine. Kama unajua au unafaham zinapo tengenezwa plz MSAADA..0714 045 080.
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Habari za jioni, Nilikuwa naomba kwa mtu anaefahamu lolote kuhusu upandaji wa hii miti na ukuzaji wake kibiashara. Au kama kuna thread yoyote ambayo ilishawahi kujadiliwa kuhusu hii miti naomba...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
WENYE FIKRA KAMA ZANGU TUTAFTANETUJIAJIRI WENYEWE UKIWA DAR ITAKUA POA SANA, VIZURI TUKUTANE WASAP #0713 123 160 MAANA SITUMII JF MARA KADHAA.. ni kwa walio serious tu. #umoja ni ushindi, karibu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mm ni kijana nipo dsm, nina mtaji wa 1 mill, naombeni ushauri juu ya bidhaa zinazo faa katika biashara ya kutembeza kwenye bar na lodge hapa dsm na mahali ambapo naweza kuzipata kwa bei ndogo ili...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakulima na wataalamu wa kilimo naomba tupeane maarifa ni shida yangu ni miche ya miembe, je ni mamna gani naweza kuandaa kokwa ya embe niliyokula na kupata mche??? Maana msimu umeshawadia...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ninampango wa kuanzisha mradi wangu wa kutengeneza matofali kwa bei nafuu kwa kutumia technology ya ya hydraform, kwa upande wa huku arusha sijajua nawapata wapi hawa wataalum wa kutengeneza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wadau, Mie niko Mtwara, natafuta ng'ombe wa kisasa wa maziwa,. Nahitaji ng'ombe wawili kwa kuanzia. Kwakua mie ni mjasiliamari ninaejifunza kamtaji kwangu ni 1,600,000 kwa hao ng'ombe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau hv machine gan(washing machine) ni bora kwa kuanzia kufungua dry cleaner.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ushuru mkubwa Wa bandari na Kofi kubwa ni tatizo kubwa la kitaifa hasa kwa wafanya biashara wadogo wajuzi wanao tamani kuuza bidhaa zao nje ya nchi ama kuleta ndani ya nchi Kodi nitatizo kubwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa naamin muwazima wa afya ,, kitu kilichoninya niombe ushauri ni kwamba ninampango wa kuchukua mkopo wa 500,000 sasa hebu nishaurini wadau naweza kuufanyia nn na kuzalisha...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kwa Hesabu Ya Harakaharaka Sisi Kijiji Chetu Tupo Watu Wazima Wenye Akili Timamu Wasiozidi 8elfu Tu Sasa Ukigawanya Milion 50/8 Utapata Jibu Kuwa Tayari Sisi Serekali Itakuwa Ishatupa Mtaji Hebu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari? Naomba wenye uzoefu wa hizi mashine waniambie bei zake ni kiasi gani uimara wake na kudumu kwake...je zina ufanisi mzuri kwa kutotoa vifaranga vya kuku wa kienyeji?
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Kwa yeyote anayejua bei ya sisal/mkonge USSG per tone au per kg. Naomba kujuzwa please. Thanks
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaada nataka kujua faida na hasara za biashara hii .. nataka niwekeze kwenye kiwanda cha kutengeneza haya mafuta ya alizeti .. naona walaji ni wengi sana sasa ..Natanguliza shukrani
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari ya weekend wakuu. Naomba kujuzwa umwagiliaji wa matikiti maji ni kwa njia gani? Nikiwa sina drip. Tafadhali, asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…