Ahsante kwa wazo lako yakinifu,biashara ya nafaka natazamia cku zjazo ila kwa kuanza kulima then kipindi cha mavuno nifanye manunuzi yakutosha.JE MUDA HUU MCHACHE ULIO MBELE YANGU KIPI NIKIPE KIPAUMBELE?
mie kwa ushauri wangu ungejihusisha na biashara ya kuuza nafaka kama vile mchele wa jumla, maharage, na bizaa zingine za nafaka..au ukiweza fungua ka mini-supermarket kama kamtaji kataruhusu..kila la heri
wazo zuri sana tena sana maana wengi wetu tukishatumbukia kwenye hiz ajira akili zinadumaa kabisa kama umeshafikia maamuzi mazuri na una mtaji pia kama una access na mikoani unaweza fanya biashara ya kuku wa kienyeji hasa hichi kipindi cha sikukuu huku akili yako ikikaa sawa vile unaweza jaribu kilimo chenye maanufaa kwa mwaka mmoja degree yako iko palepale tena na usomi wako unaweza ukafanikisha sana jambo la msingi tembelea jukwa la uchumi(business forum) kuna mambo mengi ya kujifunza na kuna wadau wengi wanaushauri utapata michango mingi sana huko nawasilishaKazi ishakuwa kadhia,mwaka ushapita pasi kuwa na ajira japo Degree ninayo,tena ya Uchumi. Nimedhamiria kujiajiri hata kwa kuficha vyeti,Ombi langu, je biashara ipi ya halali na mtaji kiasi gani utafaa?Nipo Dar,Mnijuze tafadhali?
Stigliz, naanza kwa kukupa pole kwa sababu nawe ni mhanga wa kasumba ya uelimike ili uajiriwe, japo umeshachelewa, lakini 'better late than never'.Kazi ishakuwa kadhia,mwaka ushapita pasi kuwa na ajira japo Degree ninayo,tena ya Uchumi. Nimedhamiria kujiajiri hata kwa kuficha vyeti,Ombi langu, je biashara ipi ya halali na mtaji kiasi gani utafaa?Nipo Dar,Mnijuze tafadhali?
Ahsante saaana,Nilishakuwa na ujuzi wa mambo ya mikopo wa miezi saba,kuna wafanyabiashara nataka nianze kukaa nao nipate ujuzi na uzoefu then miezi michache baadae niingie moja kwa moja.UPPER SECOND GPA mtaani ni taabu tupu,nitapambana kwenye biashara najua miaka mitano ijayo nitakuwa m2.wazo zuri sana tena sana maana wengi wetu tukishatumbukia kwenye hiz ajira akili zinadumaa kabisa kama umeshafikia maamuzi mazuri na una mtaji pia kama una access na mikoani unaweza fanya biashara ya kuku wa kienyeji hasa hichi kipindi cha sikukuu huku akili yako ikikaa sawa vile unaweza jaribu kilimo chenye maanufaa kwa mwaka mmoja degree yako iko palepale tena na usomi wako unaweza ukafanikisha sana jambo la msingi tembelea jukwa la uchumi(business forum) kuna mambo mengi ya kujifunza na kuna wadau wengi wanaushauri utapata michango mingi sana huko nawasilisha
hongera mkuu namimi niko katika line kama
yako,ila inabidi tuwe wavumilivu
hongera mkuu namimi niko katika line kama
yako,ila inabidi tuwe wavumilivu
NI VYEMA UKAWEKA BAYANA NI VP UNATAKA IWE,nitajifunza vyote then mbeleni nitapembua lipi ndo lipi.5 YRS TO COME I NEED TO B SOMEBODY.kwa mtu msomi ni jambo la msingi sana kujitofautisha na ambaye hakuipata hiyo elimu yako. sitegemei utakapojiajiri ufanye sawa na wao. Hata kama biashara zinafanana, lazima elimu yako ionekane katika kazi zako. Sitegemei ufanye biashara ya uchuuzi. Kununua na kuuza nafaka kila mtu anaweza. Hata yule asiyejua darasa. Umesoma hadi shahada, unataka kupigana vikumbo na waliokwepa umande? Lazima uwe tofauti. Wewe uliyesoma, hata kama umejiajiri katika huduma ama uzalishaji ni lazima vitu vitatu vionekane; input, process and output. Huu ndio ujasiriamali.
NI VYEMA UKAWEKA BAYANA NI VP UNATAKA IWE,nitajifunza vyote then mbeleni nitapembua lipi ndo lipi.5 YRS TO COME I NEED TO B SOMEBODY.
kwa mtu msomi ni jambo la msingi sana kujitofautisha na ambaye hakuipata hiyo elimu yako. sitegemei utakapojiajiri ufanye sawa na wao. hata kama biashara zinafanana, lazima elimu yako ionekane katika kazi zako.kunu sitegemei ufanye biashara ya uchuuzi. nua na kuuza nafaka kila mtu anaweza. hata yule asiyejua darasa. umesoma hadi shahada, unataka kupigana vikumbo na waliokwepa umande? Lazima uwe tofauti. Wewe uliyesoma, hata kama umejiajiri katika huduma ama uzalishaji ni lazima vitu vitatu vionekane; input, process and output. Huu ndio ujasiriamali.
mkuu, pole kwa kazi.
Mkuu ninamashaka makubwa sana na lugha uliyoitumia katika kuwakilisha maoni yako, hasa katika vipengele ambavyo nimeviwekea rangi nyekundu.kwangu naona kana kwamba unawabeza sana watu wasio soma, huamini kwamba wao pia wanaweza kuwa na hiyo "input, process, and output".
Ndg yangu kusoma ni suala jingine na kufanikiwa katika nyanja ya maisha hususani ktk mambo ya ujasiriamali nalo pia ni suala jingine.
Sipendi nitoe mifano mingi sana hapa, lakini hebu mchukulie mtu kama bakheresa je amesoma sana mpaka kufikia hicho kiwango unachokiamini wewe?. Je kwa mtazamo wa haraka haraka hana hizo sifa za input, process, na output?.
Asante ndugu yangu.