Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

  • Poll Poll
Wakuu nauza Nta (Beeswax) inayopatikana baada ya kuchakata asali ya nyuki wakubwa. Nta iko vizuri niya Mwaka huu. Niko Tabora, niko na Tani moja, ila kama utahitaji zaidi uwezekano upo wa kupata...
2 Reactions
6 Replies
420 Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana wa miaka 26 nimekuja kwenu wana JF ili niweze kupata elimu na kunifungua akili juu ya wazo nililo nalo na wapi pa kuanzia Nimejipanga kuanza shughuli za...
5 Reactions
4 Replies
659 Views
WATER PUMP ZA SOLAR Ndugu mkulima, je wewe ni miongoni mwa wanaotumia zaidi ya elfu 50 kwa siku kununua mafuta ya kuendesha pump kwa sababu una shamba kubwa. Hapo ukipiga hesabu ndani ya miezi 3...
1 Reactions
7 Replies
776 Views
Wengi huamini kwamba ufugaji wa ng’ombe ni shughuli ya mashambani au vijijini pekee. Lakini ukweli ni kwamba — mjini ndiko kuna fursa ya haraka, ya uhakika, na yenye faida kubwa! Jiulize: Unayo...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari ndugu wakulima na wafugaji, kumekuwa na sintofahamu nyingi kuhusu super gro, nilikuwa naomba msaada wa mawazo wewe kama mkulima unaitambua kama mbolea? Na Kwa wale waliotumia mavuno yake...
2 Reactions
4 Replies
6K Views
Habari za siku ndugu wanajamvi. Kama ilivyo katika kichwa Cha thread hapo juu, nataka niende kulima ngano katika wilaya ya Sumbawanga. Naomba Ushauri wenu hapo Kwa wote, ili niingie katika...
2 Reactions
41 Replies
6K Views
--- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI 🧬 VYANZO VYA MIFUGO KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA --- 1. 🥀 LISHE DUNI Lishe isiyotosha hupunguza uzalishaji wa homoni. Mnyama anakosa nguvu na afya ya uzazi hushuka. 2. 🦠...
1 Reactions
0 Replies
204 Views
Natafta kuku kienyeji mwenye kuwa nao tuongee
2 Reactions
1 Replies
285 Views
°Nta °Asali °Maziwa ya nyuki yaani "Royal jelly" °Gundi ya nyuki °Chavusha ya nyuki "Bee pollens" °Hewa ya nyuki Sumu ya nyuki yaani bee Venom Najua wengi wanafahamu kuhusu Asali tu 🙏🏾
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Miss World 2025 Atembelea Mradi wa Kilimo cha Mwani Unaosimamiwa na Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF), Paje-Zanzibar Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) nchini ya...
1 Reactions
0 Replies
345 Views
Badilisha kutoka kwenye daftari na kalamu sasa unaweza: ✅ Kurekodi gharama zote za mradi ✅ Kupata ratiba ya kulisha kuku kulingana na umri na idadi ✅ Kukumbushwa siku za chanjo Usibaki nyuma...
5 Reactions
8 Replies
486 Views
By Josephine Christopher Josephine Christopher is a senior business journalist for The Citizen and Mwananchi newspapers Mwananchi Communications Limited After a failed poultry venture left him in...
1 Reactions
13 Replies
876 Views
Shamba lipo Tanga Korogwe ni hekari 6 jumla ya miti ya mitiki ni 2100 Shamba linauzwa pamoja na miti yake kwa milioni 150 dalali ukileta mteja 10% ya kwako Miti ina umri wa kuanzia miaka 9 mpaka...
0 Reactions
4 Replies
560 Views
Habari wakuu! Poleni sana kwa majukumu! Ninaomba kuuliza ninawezaje kupata mayai ya Kware? Wapi yanauzwa? Nitashukuru
2 Reactions
8 Replies
468 Views
Kwa nini ni muhimu kupogolea miti ya matunda: 1. Kuboresha ukuaji na uzalishaji: Kupogolea huwezesha mti kuelekeza nishati yake kwenye sehemu zenye afya na kuimarisha ukuaji wa matawi na matunda...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii ni project ya miaka 3 ambayo nimeianza Rasmi mwaka jana kwa kuotesha kitalu cha milimau, na kuipanditikiza pembeni kwa ajili ya kufanyiwa bading, mwaka huu iko stages nzur tu na mwakani Mungu...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi natumia gharama kubwa kupata mchanganyo kwaajiri ya nguruwe ambao ni:- Pumba mahindi 700kg Concentrate 50kg Mashudu 200kg OlaQuindox 500mg Bokhash 10kg Dcp 10pkt Pig booster 10pkt Toxic...
4 Reactions
49 Replies
3K Views
WAZIRI DKT. KIJAJI AKABIDHI BOTI ZA UVUVI ZENYE THAMANI YA BILIONI 2 Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amekabidhi boti 13 za Uvuvi zenye thamani ya takribani shilingi Bil. 2 kwa...
0 Reactions
2 Replies
296 Views
Wakuu habari Nina mashamba yangu huko pwani, nimepanga nikaweke mifugo kama mbuzi, ng'ombe na kondoo Ila sasa kuna ndugu ameniambia huko kuna Mang'ati wanaiba sana mifugo Sasa nipeni Dawa hawa...
2 Reactions
10 Replies
534 Views
Habari zenu wafugaji, mimi ni mfugaji tangu siku nyingi zilizopita, nimejikita sana kwenye kuku wa kienyeji. hivi karibuni nilinunua mayai ya kanga nikayatotolesha pamoja na mayai ya kuku, sasa...
10 Reactions
141 Replies
10K Views
Back
Top Bottom