Biashara iliyokuwa ikifanywa na Wawekezaji ya kununua vifaranga na Mayai kutoka nchi za nje imepigwa marufuku, baada ya Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, William Ole Nasha, kusema kuwa...
Salamu sana Wakuu katika Jukwaa hili.
Leo nimepanda hapa Jukwaani nikiwa nahitaji msaada kutoka kwenu. Naomba kujuzwa Juu ya zao hili la Strawberry, nimepata kusikia kwamba kuna baadhi ya Maeneo...
Habarini wapendwa.
Ninahitaji Msaada wa mbegu nzuri za vitunguu kwa kupanda mkoa wa Iringa eneo lenye udongo tifutifu na penye umwagiliaji wa machine.
Pia naomba kwa wanaojua vizuri kilimo hili...
Nimenunua mayai 10 ya bata Bukin nitaka nipekeke yakatotolewe kwenye incubetor ila sijajua yatatotolewa kwa mda gan naomba kama kuna anayejua anifahamishe.
Sent from my BlackBerry 9320 using...
Habari za muda wana jf? Ni matumaini yangu muwazima wa afya njema kwa kudra zake Mungu.
Naomba msaada kwa wenye uelewa kuhusu zao hili la dengu kuhusu uandaji wa shamba, upandaji, utunzaji na...
Inakuaje wadau naomba tujuzane miezi ya mavuno ya mazao ya mahindi,karanga,mpunga,,korosho,alizeti,maharage na mazao mengine mengi ya chakula tuje tununue mazao na kuja kuuza mjini au kuhifadhi...
siku za karibuni nilikuwa natafuta mbolea ya kuweka kwenye migomba. nikaambiwa mbolea ya kuku ni nzuri sana, nikaenda kuitafuta. nikakuta inabei kubwa sana. gunia la debe kumi wanauza 4,000...
Naomba nianze kwa kumshuru mungu kwa kunipa uzima na kunifanya nizaliwe Tanzania Tanzania tunazo fursa nyingi sana Leo ntazungumzia fursa zilizop kwenye secta ya kilimo watu wamekuwa wakilalamika...
Wadau,
Nimeamua kua Mkulima rasmi. Sina uhakika na kile nachotaka kukifanya kwani sina Uzoefu wowote, wala sijawahi hata kumiliki bustani, sembuse kumiliki japo Gunia moja la zao lolote duniani...
Habari wana jf, naombasaaada kwa MTU ambaye ameshawahi kulima vitunguu maeneo ya njiapanda au kileo kama unaenda mwanga. Kuanzia gharama za kukodi shamba palizi mbegu na kiss cha mavuno...asante
Salaam wana Jf.
Natambua mu wazima na mvua hizi wengine mpo mashambani mkiandaa mashamba.
Nimekuwa nikiona mijadala mingi hum ikijikita Katika Faida na mafaninikio ya kilimo. Lakini naomba tupeane...
Mimi ni Kijana mjasiliamali natamani nianzishe kilimo cha alizeti alafu mwisho ninunue mashine ya kukamua hayo mafuta lakini changamoto yangu sijui hiyo mashine inapatikana wapi, pia sijui...
Wakuu habari zenu, naombeni kujuzwa wapi yanapatikana mashamba ya Ngo'mbe wa maziwa mkoani Mbeya. Lengo langu ni kujifunza jinsi ya kufuga ngo'mbe wa maziwa ili hapo baadae na mimi niingie kwenye...
Naomba kwa anayefahamu changamoto za zao la ufuta nipate msaada
Shambani kwangu ufuta unabadilika rangi rangi kuwa njano then kukauka wakati ndio unaelekea kutoa maua.