Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Biashara iliyokuwa ikifanywa na Wawekezaji ya kununua vifaranga na Mayai kutoka nchi za nje imepigwa marufuku, baada ya Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, William Ole Nasha, kusema kuwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu hv ni miez gani bamia inakuwa na bei nzuri sokoni
0 Reactions
4 Replies
5K Views
  • Redirect
Salamu sana Wakuu katika Jukwaa hili. Leo nimepanda hapa Jukwaani nikiwa nahitaji msaada kutoka kwenu. Naomba kujuzwa Juu ya zao hili la Strawberry, nimepata kusikia kwamba kuna baadhi ya Maeneo...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habarini wapendwa. Ninahitaji Msaada wa mbegu nzuri za vitunguu kwa kupanda mkoa wa Iringa eneo lenye udongo tifutifu na penye umwagiliaji wa machine. Pia naomba kwa wanaojua vizuri kilimo hili...
0 Reactions
Replies
Views
Naitaj kuku wa kienyeji mwenye kujua wap nawapata kwa bei nafuu aniambie
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nina shamba, vifaa, wafanyakazi na Experience. Natafta partiner wa kushirikiana naye kilimo cha Tikiti. 50/50 contribution. Shamba lipo Mwanza Malimbe nyegezi. Kwa ambaye yupo serious anitafte kwa...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Nimenunua mayai 10 ya bata Bukin nitaka nipekeke yakatotolewe kwenye incubetor ila sijajua yatatotolewa kwa mda gan naomba kama kuna anayejua anifahamishe. Sent from my BlackBerry 9320 using...
1 Reactions
72 Replies
33K Views
  • Redirect
Habari za muda wana jf? Ni matumaini yangu muwazima wa afya njema kwa kudra zake Mungu. Naomba msaada kwa wenye uelewa kuhusu zao hili la dengu kuhusu uandaji wa shamba, upandaji, utunzaji na...
0 Reactions
Replies
Views
Inakuaje wadau naomba tujuzane miezi ya mavuno ya mazao ya mahindi,karanga,mpunga,,korosho,alizeti,maharage na mazao mengine mengi ya chakula tuje tununue mazao na kuja kuuza mjini au kuhifadhi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
siku za karibuni nilikuwa natafuta mbolea ya kuweka kwenye migomba. nikaambiwa mbolea ya kuku ni nzuri sana, nikaenda kuitafuta. nikakuta inabei kubwa sana. gunia la debe kumi wanauza 4,000...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba nianze kwa kumshuru mungu kwa kunipa uzima na kunifanya nizaliwe Tanzania Tanzania tunazo fursa nyingi sana Leo ntazungumzia fursa zilizop kwenye secta ya kilimo watu wamekuwa wakilalamika...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
  • Redirect
Habar zenu naomba mwenye uwelewa na mbegu za vitunguu na mikoa inayouza mbegu nzuri ya vitunguu maji. Asanten
0 Reactions
Replies
Views
Wadau, Nimeamua kua Mkulima rasmi. Sina uhakika na kile nachotaka kukifanya kwani sina Uzoefu wowote, wala sijawahi hata kumiliki bustani, sembuse kumiliki japo Gunia moja la zao lolote duniani...
4 Reactions
25 Replies
7K Views
  • Redirect
Habari wana jf, naombasaaada kwa MTU ambaye ameshawahi kulima vitunguu maeneo ya njiapanda au kileo kama unaenda mwanga. Kuanzia gharama za kukodi shamba palizi mbegu na kiss cha mavuno...asante
0 Reactions
Replies
Views
Habari za majukumu wakuu! Naomba kujua popoo ni nini?(kwa anayelijua zao hili) Je zinalimwa wapi? Yaani mkoa gani? Asanteni kwa msaada!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Redirect
Wakuu naomba kuuliza Heka moja ya mihogo Unapaka faida kiasi gani!
0 Reactions
Replies
Views
Salaam wana Jf. Natambua mu wazima na mvua hizi wengine mpo mashambani mkiandaa mashamba. Nimekuwa nikiona mijadala mingi hum ikijikita Katika Faida na mafaninikio ya kilimo. Lakini naomba tupeane...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni Kijana mjasiliamali natamani nianzishe kilimo cha alizeti alafu mwisho ninunue mashine ya kukamua hayo mafuta lakini changamoto yangu sijui hiyo mashine inapatikana wapi, pia sijui...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Redirect
Wakuu habari zenu, naombeni kujuzwa wapi yanapatikana mashamba ya Ngo'mbe wa maziwa mkoani Mbeya. Lengo langu ni kujifunza jinsi ya kufuga ngo'mbe wa maziwa ili hapo baadae na mimi niingie kwenye...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Naomba kwa anayefahamu changamoto za zao la ufuta nipate msaada Shambani kwangu ufuta unabadilika rangi rangi kuwa njano then kukauka wakati ndio unaelekea kutoa maua.
0 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…