Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wafugaji Leo napenda kuwaletea somo juu ya aina ya mbegu za ng'ombe wa maziwa.karibi sana uwe kujifunza ✅AINA ZA MBEGU ZA NG'OMBE WA MAZIWA; --- Breed za Ng’ombe wa Maziwa (Dairy Breeds)...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=GmJyilSz9i0&t=71s kuku anayeuzwa bei zaidi ya ng'ombe
0 Reactions
7 Replies
765 Views
  • Redirect
kuku anayeuzwa bei zaidi ya ng'ombe angalia kuku anayeuzwa bei kubwa
0 Reactions
Replies
Views
Habari ya leo ndungu zanguni, Jackson hapa. Naitaji ushauli ndugu zangu Hivi kati ya kujikita kwenye kilimo au kujikita kwenye kununua mazao kipi kinafaida kubwa? Na kipi kina risk kubwa? Kwa...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Wakuu, niliagiza miche ya miembe toka Morogoro. Kwa kweli quality yake ilinitia mashaka. Shambani ni kama 70% ili-fail. Rafiki yangu akanishawishi niagize toka Nairobi. Kwa kusita nikaagiza. Hii...
3 Reactions
16 Replies
838 Views
Habari Nahitaji ngozi za ng'ombe , hata kama una mzigo wa tani laki moja , nachukua Nipigie 0616274277
0 Reactions
2 Replies
444 Views
Wafugaji wa kuku Chukua tunda moja au mawili, kata vipande vipande loweka kwenye maji ya kunywa ya kuku wako. ✅Ni kinga nzuri sana kwa maradhi ya kuku Mdharau asili hufa masikini
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Leo, tunasherehekea na kuwaheshimu wakulima wote wanaofanya kazi kwa bidii ambao huamka kila siku kulisha taifa letu na kulinda mustakabali wetu. Ninyi ndio msingi wa usalama wa chakula, mashujaa...
0 Reactions
7 Replies
383 Views
||| Mpango wa Outgrower hujulikana pia kama mipango ya wakulima washirika ni mpango wa kilimo ambapo wakulima wadogo wanaingia kwenye makubaliano ya mkataba na kampuni kubwa ya biashara au...
0 Reactions
2 Replies
499 Views
Leo, tunasherehekea na kuwaheshimu wakulima wote wanaofanya kazi kwa bidii ambao huamka kila siku kulisha taifa letu na kulinda mustakabali wetu. Ninyi ndio msingi wa usalama wa chakula, mashujaa...
0 Reactions
0 Replies
143 Views
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda ametembelea Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na Ofisi hiyo pamoja na Taasisi zake...
0 Reactions
4 Replies
309 Views
Niende mojamoja kwenye mada nina Gunia 100 (KULINGANA NA MTAJI WANGU UKIHITAJI NIKUKUSANYIE PIA SAWA) ya pumba za mahindi nauza kg moja sh 80 niko kanda ya ziwa kwa anayehitaji tufanye biashara...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Katika harakati zetu Rubaba Media kuelimisha na kushauri wakulima na wafugaji kote nchini, tukishitikiana na Koudijs safari yetu ya hivi karibuni ilitufikisha mkoani Mara — hasa maeneo ya Tarime...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu, Sehemu nilipo ardhi yake ni mchanga sana na mazao jamii ya mbogamboga hayastawi kwa sababu ya jua kali na udongo mchanga sana usiokuwa na rutuba. Ninataka kufanya kilimo biashara kwenye...
1 Reactions
1 Replies
311 Views
Kati ya nyanya aina ya DHAHABU F1 na tanzanite ni ipi Ina sifa nzuri?
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Kumekuwa na ufugaji mkubwa wa samaki katika Ziwa Victoria. Kwa takwimu nilizo nazo asilimia 80 ya wananchi wanaozunguka Ziwa Victoria kwa sasa wanatumia samaki hawa wa kufugwa kama chakula chao...
0 Reactions
5 Replies
545 Views
NYANYA ni zao linalopendwa kutumiwa, kunogesha chakula, chakula kilichowekwa NYANYA huwa na radha nzuri inayomvutia mlaji. Wakulima wengi hutamani kulima zao hili wengi huandika FAIDA na kusahau...
21 Reactions
855 Replies
274K Views
Nimekuwa nikifanya utafiti binafsi kwa kulima aina mbalimbali za mbegu za mahindi na kugundua yafuatayo. 1. ChapaTembo 719 Hii ni mbegu inayochukua muda mrefu kukomaa. Hukomaa baada ya miezi 4...
8 Reactions
19 Replies
10K Views
Naomba msahada wa wadau wanasafirisha mifugo au wanaofahamu wadau wa hizo kazi. Kutumia marolli kutoka mikoni kama singida, mbeya, njombe, moshi mwanza n.k. kuja dar es salaam. Kama kunamtu mwenye...
0 Reactions
1 Replies
339 Views
Simamia Ufugaji wako wa Kuku kwa Kutumia Fuga App leo na ukuze biashara yako ya ufugaji
2 Reactions
0 Replies
187 Views
Back
Top Bottom