Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

My Take Bila kukuza sekta ya mifugo na kuanzisha viwanda vya kuchakata unga na ku blend ,mahindi yataendelea kuromoka. Zimbabwe nako ni bumper harvests...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za muda muda wadau bila shaka mnaendelea kufuatilia wagombea waliopita.Nisiwachoshe nipo jijini Mwanza najihusisha na ufugaji wa samaki aina ya Sato ziwa victoria, natarajia kuvuna...
14 Reactions
44 Replies
2K Views
Changamoto kubwa ya kilimo na ufugaji si uzalishaji – ni soko. Wengi hufanya kazi kubwa shambani au bandani, lakini mwisho wa siku bei ni ndogo, wanunuzi hawapo, au madalali ndio hunufaika. 👉...
0 Reactions
0 Replies
249 Views
Wadau Amani iwe kwenu Nimefuatilia kwa wenzetu huko Nigeria wanaozalisha funza agotti) kwa ajiri ya chakula cha kuku kwa kutumia inzi waitwao Black Soldier Nauliza kwa hapa Tanzania wapi naweza...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari zenu wapambanaji Leo niko mbele yenu kutaka ushauri wa kimawazo kutoka kwenu ndugu zangu. Niko kwenye mpango wa kuingia kwenye kilimo kwa kumanisha hasa. Nina bajeti ya kiasi cha Tsh. 5M...
5 Reactions
53 Replies
4K Views
Wadau ninashamba la ekari 50 ukanda wa ziwa victoria Nataka nifanye kilimo cha umwagiliaji WA mahindi na mpungu wakati wa masika na kiangazi. Shamba Kikimit 700 800 kutoka ziwani. Je, wazoefu...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
✅ CHUPA ZA KUPULIZIA DAWA MABANDANI BEI 10,000/=Tsh Lita 4.5. (Offer) Tunauza sprayer bora na imara kwa ajili ya: ✔ Kupulizia dawa za kuua wadudu na kuzuia magonjwa ✔ Kunyunyizia maji mabandani...
1 Reactions
0 Replies
367 Views
Katika hekaheka za kujiandaa kustaafu miaka 7 baadae nimeamua nipande miche kama 500 yaani ekari 10 za maembe kisasa. Shamba lipo Tabora kwa sasa naendelea kuchimba mashimo. Nitapanda bila...
29 Reactions
123 Replies
11K Views
Je, unatumia Fuga App? Tunataka kujua uzoefu wako na jinsi tunaweza kuifanya bora zaidi kwa ajili yako. Jaza dodoso hili kwa dakika 2 tu na tusaidie kukupa huduma bora zaidi. 👉 [Utafiti wa...
0 Reactions
0 Replies
243 Views
Wakuu mimi ni mfugaji na nina uzoefu sana katika ufugaji japo nakili wazi bado huwa najifunza kwa wenzangu tena kwa bidii sana. Nilichanja kuku wangu chanjo ya kideri (Newcastle)27/07/2025 na...
13 Reactions
27 Replies
2K Views
Moja ya magonjwa mabaya zaidi yanayowakumba kuku. Ugonjwa huu huathiri ubongo na mfumo wa neva, na kusababisha dalili kama shingo kupinda , kutembea vibaya, kupumua kwa shida, na kushuka kwa...
1 Reactions
6 Replies
598 Views
Wakuu itifaki imezingatiwa. Kwa Wazoefu wa Kilimo Cha mahindi ,naomba kufahamu Sumu ya Kudhibiti Minyoo au funza wanaokula mahindi yakiwa hatua ya Mwanzo yaani mbegu Hadi wiki 2 "Seedcorn Maggot"...
0 Reactions
1 Replies
326 Views
Natumaini nyote hamjambo! Mie naitwa Kakuyu, naomba ushauri mahsusi kutoka kwa waliokwishafanya Kilimo cha Maembe na Minazi. Nina shamba lipo Kisarawe maeneo ya Masaki (Mji Mpya) lenye ukubwa wa...
2 Reactions
35 Replies
14K Views
Nataka niuze Mbuzi Arusha naweza kupata wateja? naomba mwongozo wale wazoefu wa biashara hii
4 Reactions
3 Replies
459 Views
Habari za jioni wana JF. Katika kutafuta fursa za kimaisha baada ya kustaafishwa rasmi na Trump 😃😄😁😀. Niliwasiliana na jamaa yangu mmoja ambaye naye amestaafishwa na Trump ambaye alikuwa...
9 Reactions
76 Replies
6K Views
Huu ugonjwa unaopelekea kuku kupinda shingo kuelekea kushoto au kulia husababishwa na nini? Pia nini tiba yake?
2 Reactions
18 Replies
10K Views
https://youtu.be/EA1vMZRRktQ?si=Cb1kvCI2ybwJO36n KUTOKA MWANZA: Safari ya Mabadiliko kwa Mfugaji wa Kuku wa Mayai! 📍 Mwanza | 🐔 Mashamba Mawili | 💡 Ushauri wa Kitaalamu Juzi tulipata nafasi ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wafugaji wadogo sasa wanatumia mashine za kutoa manyoya ili kuokoa muda, kupunguza kazi ngumu na kudumisha usafi. 💡 Kutumbukiza kuku kwenye maji moto kisha kwenye mashine na mara moja, kuku yuko...
0 Reactions
0 Replies
251 Views
Nimewaacha kuku wangu wakiwa vizuri kabisa ile nimetoka kidogo nimekuta wamekufa wote sasa itakuwa nini wakuu??
1 Reactions
56 Replies
2K Views
Ninapoishi kumezuka huu ugonjwa wa kuku kujaa mafuta mengi mwilini hadi kushindwa kula na kufa kabisa. Kama akichinjwa kabla hajafa akipikwa hutoa mafuta mengi wastani wa mils 100 na kuendelea...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom