Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Fowl Pox ni ugonjwa wa kuku unaosababishwa na virusi, unaosambazwa na mbu au kwa kugusana. Dalili zake: Vidonda kwenye uso, mdomo au midomo ya macho 👀 Kuku kuwa dhaifu na kushuka uzalishaji wa...
2 Reactions
0 Replies
245 Views
Anonymous
Jamani wakulima wa tumbaku wilaya ya kibondi tunaangamia hatujslipwa stahiki zetu Hadi Leo unakaribia mwezi wa pili baada ya mauzo ya mwisho wakati mkataba wa uuzaji tuliongia na kampuni(AMCOS)...
1 Reactions
2 Replies
245 Views
Naomba ushauri Kwa muda mrefu sasa nipo nikitafakari juu ya kuchagua jambo moja kati ya haya mawili Kati ya kufanya kilimo cha kisasa juu ya MAZAO ya chakula (Mahindi ,ufuta ,mpunga ,na...
1 Reactions
2 Replies
557 Views
Nimefanikiwa kupata shamba la ekarim kama 50 ambapo kati ya hizo 20 ni msitu, lina chanzo cha maji cha ukakika na nimeshauriwa nifuge nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa. Niefikiria kuweka...
11 Reactions
102 Replies
8K Views
Kama huandiki, haufugi - unabahatisha tu. Bila kumbukumbu, huwezi kujua: Kiasi cha chakula kilichotumika Mapato na gharama zako Idadi ya kuku waliokufa au waliopo Faida halisi unayopata...
1 Reactions
0 Replies
253 Views
De-beaking kwa Kuku wa Kutaga (Layers) De-beaking ni kitendo cha kukata sehemu ndogo ya ncha ya mdomo wa kuku. Kwa nini hufanywa? ✔ Kuzuia kula mayai (egg eating) - kuku wengine huanza kuvunja...
2 Reactions
0 Replies
330 Views
Habari za muda huu, Kwa majina yangu naitwa gilliard erasto nina diploma in animal health and production nipo mbele yenu natafuta kazi kwenye mashamba ya mifugo, kwenye agrovet section ya...
3 Reactions
12 Replies
644 Views
Habari zaa mudaa huu....Mimi ni DAKTARI WA MIFUGO nipo Dar es salaam Kwa mtu atakayehitaji ushauri wa kidaktari karibunii sana,ofisi ipo Tegeta azania ila tunafika popote ulipo.Tunahudumia...
0 Reactions
7 Replies
869 Views
Wapi naweza kupata Vindama vya mbuzi kama 20 na kwa bei gani? Nataka niweke shambani kwangu Mimi nipo dar.
10 Reactions
53 Replies
3K Views
Ushauri wadau... Nahitaji Kulima Wilaya ya Kilosa, Naombeni Ushauri Wa maeneo yasiyo na mafuriko Uzi tayari..
4 Reactions
19 Replies
873 Views
Hii ndiyo inatokea pale ambapo ugonjwa unaingia kwenye banda kabla ya chanjo kufanyika. Ukiona dalili, mara nyingi huwa ni kuchelewa sana. Chukua mfano wa Ugonjwa wa Kideri (NewCastle) moja ya...
0 Reactions
0 Replies
442 Views
Habarini wakuu, Nataka kulima Pilipili kibiashara kwa kilimo cha umwagiliaji. Sina taarifa za masoko kwa ukanda wetu wa Pwani esp Dar es Salaam. Naomba kujua pilipili zipi ambazo zina soko zuri...
2 Reactions
25 Replies
17K Views
Habari za wakati huu wakuu, Leo tunawaletea mada muhimu kuhusu "Mikoa 10 Inayoongoza kwa Uzalishaji wa Chakula Tanzania". Tanzania imebarikiwa na ardhi yenye rutuba na hali ya hewa inayofaa kwa...
7 Reactions
79 Replies
17K Views
Hii ni tiba gani kwa ng'ombe, inasaidia nini? https://www.youtube.com/shorts/1fOe_Ph0kpQ
1 Reactions
6 Replies
478 Views
Habari zenu wakuu, naomba kujuzwa aina nzuri ya mbegu ya maharage soya ya njano, nmeambiwa zipo aina zaidi ya moja itapendeza mkiweka na bei yake. Mbegu ambayo inafanya vizuri shambani na...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Je Nguruwe wako wamedumaa? wamekonda? wamedhohofika?, vifo vya mara kwa mara? wanashambuliwa na magonjwa mara kwa mara? umewatibu weee! Bila mafanikio yoyote zaidi tu ya kutapa hasara na mpaka...
0 Reactions
1 Replies
346 Views
Habari wana JF, Je ndani ya Kanda ya ziwa ni maeneo gani bora kwaajili ya kilimo chenye tija na je mashamba yenye udongo wenye rutba yanapatikana sehemu Gani??
4 Reactions
3 Replies
343 Views
Nahitaji kufahamu mambo muhimu kuhusu mashamba ya kukodi kwa mkoa wa mbeya mahususi kwa kilimo cha mpunga Taafifa kama 1.Bei ya kukodi 2.maeneo mazuri ni wapi ( location) 3.usafirishaji wa mavuno...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu kuweka ndoto za mafanikio kwenye swala zima la ufugaji kuku, swala ambalo watu wengi wanakosea kuingia kwenye ufugaji bila tathmini...
16 Reactions
72 Replies
23K Views
Habari zenu wana jukwaa poleni na harakati za mchana kutwa. Nahitaji kujua namna haya mahindi ya kutengeneza bisi yanavyolimwa. Hali ya hewa ya eneo, udongo ambao unarutubisha na mengine yote...
6 Reactions
16 Replies
745 Views
Back
Top Bottom