Wakuu nipo hapa kupokea nondo zenu sijawahi fuga kuku wa mayai.
Najua kuna dawa wakipewa huwa zinawazuia kuku kutaga sio dawa tu hata booster pia nyingi huwafanya wanenepeane na kuwa na mafuta...
Wakuu, Kuwekeza mamilioni kwenye kilimo pasipo kufuatilia afya ya udongo wako ni kama ku-bet. Vifaa vya kujipimia udongo siku hizi ni vingi kwa bei rafiki na maelezo yake yamejaa You Tube...
JINSI YA KUJITENGENEZA CHAKULA CHA KUKU NYUMBANI KWA AJILI YA KUONGEZA UZALISHAJI
Kutokana na kuongezeka kwa gharama za chakula cha kuku iwewawia vigumu wafugaji wa kuku kupata faida kupitia...
Salaam,
Kama kichwa kinavyojipambanua, naombeni usaidizi wa mawazo juu ya ufugaji sungura ( kwa size ya kati, sio mdogo wala mkubwa sana) na zaidi nisaidieni ni wapi naweza Pata soko la uhakika...
Habari Guys, natumaini mpo salama.
Mimi ni mgeni wa kilimo, naomba kuuliza... ekari 6 za kikimo cha muhogo, kilicho tunzwa kawaida, kina wastani wa chini wa gunia ngapi?
Nineuliza sababu...
Hapa no kilimo cha matunda, mbogamboga na baadhi ya mazao ya chakula
Huhitaji tena kwenda kununua mboga zisizo salama.. Na wala huhitaji kulalamika kuwa huna eneo la bustani
Leo nataka tuangazie fursa hii ambayo imekuwa ikizungumzwa sana lakini bado haijatiliwa mkazo. Ukiitazama kwa jicho la fursa — inaweza kuwa njia ya tobo lako la kiuchumi mwaka huu!
❓Je, unajua...
Wakuu nauza Nta (Beeswax) inayopatikana baada ya kuchakata asali ya nyuki wakubwa.
Nta iko vizuri niya Mwaka huu.
Niko Tabora, niko na Tani moja, ila kama utahitaji zaidi uwezekano upo wa kupata...
Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa miaka 26 nimekuja kwenu wana JF ili niweze kupata elimu na kunifungua akili juu ya wazo nililo nalo na wapi pa kuanzia
Nimejipanga kuanza shughuli za...
WATER PUMP ZA SOLAR
Ndugu mkulima, je wewe ni miongoni mwa wanaotumia zaidi ya elfu 50 kwa siku kununua mafuta ya kuendesha pump kwa sababu una shamba kubwa. Hapo ukipiga hesabu ndani ya miezi 3...
Wengi huamini kwamba ufugaji wa ng’ombe ni shughuli ya mashambani au vijijini pekee. Lakini ukweli ni kwamba — mjini ndiko kuna fursa ya haraka, ya uhakika, na yenye faida kubwa!
Jiulize: Unayo...
Habari ndugu wakulima na wafugaji, kumekuwa na sintofahamu nyingi kuhusu super gro, nilikuwa naomba msaada wa mawazo wewe kama mkulima unaitambua kama mbolea? Na Kwa wale waliotumia mavuno yake...
Habari za siku ndugu wanajamvi. Kama ilivyo katika kichwa Cha thread hapo juu, nataka niende kulima ngano katika wilaya ya Sumbawanga.
Naomba Ushauri wenu hapo Kwa wote, ili niingie katika...
---
🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI
🧬 VYANZO VYA MIFUGO KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA
---
1. 🥀 LISHE DUNI
Lishe isiyotosha hupunguza uzalishaji wa homoni. Mnyama anakosa nguvu na afya ya uzazi hushuka.
2. 🦠...
Yanapatikana kwa wingi nchini Kenya. Naamini na hapa kwetu Tz kuna watu wanaoyalima.
Sina uhakika kama nimeshayala. Lakini leo katika kupitia makala za kilimo, nimekutana na mada inayoihusu...
°Nta
°Asali
°Maziwa ya nyuki yaani "Royal jelly"
°Gundi ya nyuki
°Chavusha ya nyuki "Bee pollens"
°Hewa ya nyuki
Sumu ya nyuki yaani bee Venom
Najua wengi wanafahamu kuhusu Asali tu 🙏🏾
Miss World 2025 Atembelea Mradi wa Kilimo cha Mwani Unaosimamiwa na Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF), Paje-Zanzibar
Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) nchini ya...
Badilisha kutoka kwenye daftari na kalamu sasa unaweza:
✅ Kurekodi gharama zote za mradi
✅ Kupata ratiba ya kulisha kuku kulingana na umri na idadi
✅ Kukumbushwa siku za chanjo
Usibaki nyuma...
By Josephine Christopher
Josephine Christopher is a senior business journalist for The Citizen and Mwananchi newspapers
Mwananchi Communications Limited
After a failed poultry venture left him in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.