Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakuu nipo hapa kupokea nondo zenu sijawahi fuga kuku wa mayai. Najua kuna dawa wakipewa huwa zinawazuia kuku kutaga sio dawa tu hata booster pia nyingi huwafanya wanenepeane na kuwa na mafuta...
3 Reactions
3 Replies
426 Views
Wakuu, Kuwekeza mamilioni kwenye kilimo pasipo kufuatilia afya ya udongo wako ni kama ku-bet. Vifaa vya kujipimia udongo siku hizi ni vingi kwa bei rafiki na maelezo yake yamejaa You Tube...
2 Reactions
7 Replies
467 Views
JINSI YA KUJITENGENEZA CHAKULA CHA KUKU NYUMBANI KWA AJILI YA KUONGEZA UZALISHAJI Kutokana na kuongezeka kwa gharama za chakula cha kuku iwewawia vigumu wafugaji wa kuku kupata faida kupitia...
17 Reactions
97 Replies
88K Views
Salaam, Kama kichwa kinavyojipambanua, naombeni usaidizi wa mawazo juu ya ufugaji sungura ( kwa size ya kati, sio mdogo wala mkubwa sana) na zaidi nisaidieni ni wapi naweza Pata soko la uhakika...
2 Reactions
7 Replies
456 Views
Habari Guys, natumaini mpo salama. Mimi ni mgeni wa kilimo, naomba kuuliza... ekari 6 za kikimo cha muhogo, kilicho tunzwa kawaida, kina wastani wa chini wa gunia ngapi? Nineuliza sababu...
3 Reactions
5 Replies
590 Views
Hapa no kilimo cha matunda, mbogamboga na baadhi ya mazao ya chakula Huhitaji tena kwenda kununua mboga zisizo salama.. Na wala huhitaji kulalamika kuwa huna eneo la bustani
8 Reactions
87 Replies
3K Views
Leo nataka tuangazie fursa hii ambayo imekuwa ikizungumzwa sana lakini bado haijatiliwa mkazo. Ukiitazama kwa jicho la fursa — inaweza kuwa njia ya tobo lako la kiuchumi mwaka huu! ❓Je, unajua...
4 Reactions
79 Replies
6K Views
  • Poll Poll
Wakuu nauza Nta (Beeswax) inayopatikana baada ya kuchakata asali ya nyuki wakubwa. Nta iko vizuri niya Mwaka huu. Niko Tabora, niko na Tani moja, ila kama utahitaji zaidi uwezekano upo wa kupata...
2 Reactions
6 Replies
378 Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana wa miaka 26 nimekuja kwenu wana JF ili niweze kupata elimu na kunifungua akili juu ya wazo nililo nalo na wapi pa kuanzia Nimejipanga kuanza shughuli za...
5 Reactions
4 Replies
581 Views
WATER PUMP ZA SOLAR Ndugu mkulima, je wewe ni miongoni mwa wanaotumia zaidi ya elfu 50 kwa siku kununua mafuta ya kuendesha pump kwa sababu una shamba kubwa. Hapo ukipiga hesabu ndani ya miezi 3...
1 Reactions
7 Replies
699 Views
Wengi huamini kwamba ufugaji wa ng’ombe ni shughuli ya mashambani au vijijini pekee. Lakini ukweli ni kwamba — mjini ndiko kuna fursa ya haraka, ya uhakika, na yenye faida kubwa! Jiulize: Unayo...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari ndugu wakulima na wafugaji, kumekuwa na sintofahamu nyingi kuhusu super gro, nilikuwa naomba msaada wa mawazo wewe kama mkulima unaitambua kama mbolea? Na Kwa wale waliotumia mavuno yake...
2 Reactions
4 Replies
6K Views
Habari za siku ndugu wanajamvi. Kama ilivyo katika kichwa Cha thread hapo juu, nataka niende kulima ngano katika wilaya ya Sumbawanga. Naomba Ushauri wenu hapo Kwa wote, ili niingie katika...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
--- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI 🧬 VYANZO VYA MIFUGO KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA --- 1. 🥀 LISHE DUNI Lishe isiyotosha hupunguza uzalishaji wa homoni. Mnyama anakosa nguvu na afya ya uzazi hushuka. 2. 🦠...
1 Reactions
0 Replies
190 Views
Yanapatikana kwa wingi nchini Kenya. Naamini na hapa kwetu Tz kuna watu wanaoyalima. Sina uhakika kama nimeshayala. Lakini leo katika kupitia makala za kilimo, nimekutana na mada inayoihusu...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Natafta kuku kienyeji mwenye kuwa nao tuongee
2 Reactions
1 Replies
266 Views
°Nta °Asali °Maziwa ya nyuki yaani "Royal jelly" °Gundi ya nyuki °Chavusha ya nyuki "Bee pollens" °Hewa ya nyuki Sumu ya nyuki yaani bee Venom Najua wengi wanafahamu kuhusu Asali tu 🙏🏾
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Miss World 2025 Atembelea Mradi wa Kilimo cha Mwani Unaosimamiwa na Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF), Paje-Zanzibar Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) nchini ya...
1 Reactions
0 Replies
320 Views
Badilisha kutoka kwenye daftari na kalamu sasa unaweza: ✅ Kurekodi gharama zote za mradi ✅ Kupata ratiba ya kulisha kuku kulingana na umri na idadi ✅ Kukumbushwa siku za chanjo Usibaki nyuma...
5 Reactions
8 Replies
454 Views
By Josephine Christopher Josephine Christopher is a senior business journalist for The Citizen and Mwananchi newspapers Mwananchi Communications Limited After a failed poultry venture left him in...
1 Reactions
13 Replies
809 Views
Back
Top Bottom