Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habarini wakuu, Nataka kulima Pilipili kibiashara kwa kilimo cha umwagiliaji. Sina taarifa za masoko kwa ukanda wetu wa Pwani esp Dar es Salaam. Naomba kujua pilipili zipi ambazo zina soko zuri...
2 Reactions
25 Replies
17K Views
Habari za wakati huu wakuu, Leo tunawaletea mada muhimu kuhusu "Mikoa 10 Inayoongoza kwa Uzalishaji wa Chakula Tanzania". Tanzania imebarikiwa na ardhi yenye rutuba na hali ya hewa inayofaa kwa...
7 Reactions
79 Replies
16K Views
Hii ni tiba gani kwa ng'ombe, inasaidia nini? https://www.youtube.com/shorts/1fOe_Ph0kpQ
1 Reactions
6 Replies
457 Views
Kulima vitunguu maji wakati wa masika kunahitaji kuzingatia hali ya unyevunyevu na udhibiti wa magonjwa kutokana na mvua nyingi. Hapa kuna mwongozo wa hatua kwa hatua: 1. Uchaguzi wa eneo Ardhi...
9 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, naomba kujuzwa aina nzuri ya mbegu ya maharage soya ya njano, nmeambiwa zipo aina zaidi ya moja itapendeza mkiweka na bei yake. Mbegu ambayo inafanya vizuri shambani na...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Je Nguruwe wako wamedumaa? wamekonda? wamedhohofika?, vifo vya mara kwa mara? wanashambuliwa na magonjwa mara kwa mara? umewatibu weee! Bila mafanikio yoyote zaidi tu ya kutapa hasara na mpaka...
0 Reactions
1 Replies
311 Views
Habari wana JF, Je ndani ya Kanda ya ziwa ni maeneo gani bora kwaajili ya kilimo chenye tija na je mashamba yenye udongo wenye rutba yanapatikana sehemu Gani??
4 Reactions
3 Replies
327 Views
Nahitaji kufahamu mambo muhimu kuhusu mashamba ya kukodi kwa mkoa wa mbeya mahususi kwa kilimo cha mpunga Taafifa kama 1.Bei ya kukodi 2.maeneo mazuri ni wapi ( location) 3.usafirishaji wa mavuno...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu kuweka ndoto za mafanikio kwenye swala zima la ufugaji kuku, swala ambalo watu wengi wanakosea kuingia kwenye ufugaji bila tathmini...
16 Reactions
72 Replies
23K Views
Habari zenu wana jukwaa poleni na harakati za mchana kutwa. Nahitaji kujua namna haya mahindi ya kutengeneza bisi yanavyolimwa. Hali ya hewa ya eneo, udongo ambao unarutubisha na mengine yote...
6 Reactions
16 Replies
698 Views
Nisha wahi kuja na post kuhusu haya matunda. Haya matunda yanalimwa comercialy na watu wa mbele hawa wanayapenda sana, Ni matunda tiba, Niliwahi leta uzi wake humu, coment zikawa ni kule kwetu...
9 Reactions
46 Replies
2K Views
JF wasaalam 🙏 Kama unataka mali utaipata shambani. Nianze kuwaomba vijana na sio kuwashauri maana kama kushauriwa mmeshauriwa sana hadi basi lakini hambadiliki. Mimi nami ni kijana mwenye miaka...
77 Reactions
210 Replies
21K Views
Habari mdau wa kilimo! Je, umewahi kuskia semi maarufu ya "ukiitiwa fursa basi wewe ndio fursa" ama " dili limekua dirisha"? Semi hizi na zinginezo zimekua maarufu kutokana na tapeli mbalimbali...
5 Reactions
2 Replies
367 Views
Pia wafugaji ningeshauri utunzaji wa rekodi kwa ubora,Ni muda wa Kuachana na Madaftari Fuga App inakusaidia Kufuga Kisasa na inatumia bando kidogo kuliko Whatsapp Pakua Fuga App Leo,Ufurahie...
1 Reactions
2 Replies
296 Views
Wakulima na Washauri wa Kilimo, Salaam! Tukitaka kusonga mbele katika sekta hii ya kilimo inabidi tubadili utamaduni na mfumo mzima wa kilimo kwa kuwa kuendekeza njia za mapokeo imesababisha...
11 Reactions
27 Replies
3K Views
Nina swali wadau hapa Dodoma kuna kiwanda kikubwa sana cha mbolea kinaitwa Itracom ndo kiwanda kikubwa kwa Afrika Mashariki na kati na kinauza mbolea yake kwa sasa, Kenya, Burundi, Uganda na...
0 Reactions
3 Replies
326 Views
ndugu zangu baada ya kutafiti soko la bamia,nimeamua kufanya kilimo chake,nmepata shamba pembezoni mwa mto maeneo ya dakawa.sasa naomba kujua aina ya mbegu ambayo ni nzuri, magonjwa yanayosumbua...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Kuku wanahitaji takriban saa 14–16 za mwanga kila siku ili kudumisha uzalishaji bora wa mayai. Ikiwa mwanga ni hafifu au haupatikani kwa muda mrefu, uzalishaji wa mayai unaweza kushuka kwa kasi...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Hivi karibuni tulitoa andiko kwamba ukifuga ng'ombe wa maziwa mmoja tu, unaweza kupata kati ya TSh 600,000 hadi 900,000 kwa mwezi. Pia, tulieleza jinsi hii ilivyo fursa kubwa kwa watu wengi, hasa...
12 Reactions
68 Replies
5K Views
Back
Top Bottom