Habarini wakuu,
Nataka kulima Pilipili kibiashara kwa kilimo cha umwagiliaji. Sina taarifa za masoko kwa ukanda wetu wa Pwani esp Dar es Salaam.
Naomba kujua pilipili zipi ambazo zina soko zuri...
Habari za wakati huu wakuu,
Leo tunawaletea mada muhimu kuhusu "Mikoa 10 Inayoongoza kwa Uzalishaji wa Chakula Tanzania". Tanzania imebarikiwa na ardhi yenye rutuba na hali ya hewa inayofaa kwa...
Kulima vitunguu maji wakati wa masika kunahitaji kuzingatia hali ya unyevunyevu na udhibiti wa magonjwa kutokana na mvua nyingi. Hapa kuna mwongozo wa hatua kwa hatua:
1. Uchaguzi wa eneo
Ardhi...
Habari zenu wakuu, naomba kujuzwa aina nzuri ya mbegu ya maharage soya ya njano, nmeambiwa zipo aina zaidi ya moja itapendeza mkiweka na bei yake.
Mbegu ambayo inafanya vizuri shambani na...
Je Nguruwe wako wamedumaa?
wamekonda?
wamedhohofika?,
vifo vya mara kwa mara?
wanashambuliwa na magonjwa mara kwa mara?
umewatibu weee! Bila mafanikio yoyote zaidi tu ya kutapa hasara na mpaka...
Habari wana JF,
Je ndani ya Kanda ya ziwa ni maeneo gani bora kwaajili ya kilimo chenye tija na je mashamba yenye udongo wenye rutba yanapatikana sehemu Gani??
Nahitaji kufahamu mambo muhimu kuhusu mashamba ya kukodi kwa mkoa wa mbeya mahususi kwa kilimo cha mpunga
Taafifa kama
1.Bei ya kukodi
2.maeneo mazuri ni wapi ( location)
3.usafirishaji wa mavuno...
Kwa miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu kuweka ndoto za mafanikio kwenye swala zima la ufugaji kuku, swala ambalo watu wengi wanakosea kuingia kwenye ufugaji bila tathmini...
Habari zenu wana jukwaa poleni na harakati za mchana kutwa.
Nahitaji kujua namna haya mahindi ya kutengeneza bisi yanavyolimwa.
Hali ya hewa ya eneo, udongo ambao unarutubisha na mengine yote...
Nisha wahi kuja na post kuhusu haya matunda. Haya matunda yanalimwa comercialy na watu wa mbele hawa wanayapenda sana, Ni matunda tiba, Niliwahi leta uzi wake humu, coment zikawa ni kule kwetu...
JF wasaalam 🙏
Kama unataka mali utaipata shambani.
Nianze kuwaomba vijana na sio kuwashauri maana kama kushauriwa mmeshauriwa sana hadi basi lakini hambadiliki.
Mimi nami ni kijana mwenye miaka...
Habari mdau wa kilimo!
Je, umewahi kuskia semi maarufu ya "ukiitiwa fursa basi wewe ndio fursa" ama " dili limekua dirisha"? Semi hizi na zinginezo zimekua maarufu kutokana na tapeli mbalimbali...
Pia wafugaji ningeshauri utunzaji wa rekodi kwa ubora,Ni muda wa Kuachana na Madaftari
Fuga App inakusaidia Kufuga Kisasa na inatumia bando kidogo kuliko Whatsapp
Pakua Fuga App Leo,Ufurahie...
Wakulima na Washauri wa Kilimo,
Salaam!
Tukitaka kusonga mbele katika sekta hii ya kilimo inabidi tubadili utamaduni na mfumo mzima wa kilimo kwa kuwa kuendekeza njia za mapokeo imesababisha...
Nina swali wadau hapa Dodoma kuna kiwanda kikubwa sana cha mbolea kinaitwa Itracom ndo kiwanda kikubwa kwa Afrika Mashariki na kati na kinauza mbolea yake kwa sasa, Kenya, Burundi, Uganda na...
ndugu zangu baada ya kutafiti soko la bamia,nimeamua kufanya kilimo chake,nmepata shamba pembezoni mwa mto maeneo ya dakawa.sasa naomba kujua aina ya mbegu ambayo ni nzuri, magonjwa yanayosumbua...
Kuku wanahitaji takriban saa 14–16 za mwanga kila siku ili kudumisha uzalishaji bora wa mayai. Ikiwa mwanga ni hafifu au haupatikani kwa muda mrefu, uzalishaji wa mayai unaweza kushuka kwa kasi...
Hivi karibuni tulitoa andiko kwamba ukifuga ng'ombe wa maziwa mmoja tu, unaweza kupata kati ya TSh 600,000 hadi 900,000 kwa mwezi. Pia, tulieleza jinsi hii ilivyo fursa kubwa kwa watu wengi, hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.