Masangutu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 814
- 653
Habari za muda muda wadau bila shaka mnaendelea kufuatilia wagombea waliopita.Nisiwachoshe nipo jijini Mwanza najihusisha na ufugaji wa samaki aina ya Sato ziwa victoria, natarajia kuvuna makadirio ya chini Tani 2.5(2500kg+).
Hii ni kati ya wiki moja ijayo,hivyo naomba yoyote mwenye uhitaji wa kununua kwa bei ya jumla tuwasiliane.
Bei ni tsh.8500/kg.Samaki wanauzito kati ya gram 250 hadi 500gram/nusu.Samaki walio chini ya uzito huo bei ni negotiable(kwa kawaida samaki wenye uzito chini ya 200gm huwa hawakosi),Napatikana Malimbe kabla ya luchelele.
Ahsanteni na karibuni.
Hii ni kati ya wiki moja ijayo,hivyo naomba yoyote mwenye uhitaji wa kununua kwa bei ya jumla tuwasiliane.
Bei ni tsh.8500/kg.Samaki wanauzito kati ya gram 250 hadi 500gram/nusu.Samaki walio chini ya uzito huo bei ni negotiable(kwa kawaida samaki wenye uzito chini ya 200gm huwa hawakosi),Napatikana Malimbe kabla ya luchelele.
Ahsanteni na karibuni.